Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Halisomeki vema akilini ila inawezekana.. Nimekuwa nikiona majeneza yakitengezwa Manzese tu.. kwingi ni vijiwe bya kuuzwa..Nimeona wafiwa wakifuta marehemu hospitalini na kuna nyakati hifadhi ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
naomba mchangowenu ninapesakidogo mll.2 naitaji mchango wamawazo nataka biashara mbili moja nikufungua duka languo nyingine nikufungua kibanda cha chipsi mkoa morogoro je niipi inaweza kunitoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina tsh 80m, niko Songea. Nianzishe mradi(miradi) gani ili niuage umasikini? Nisameheni kwa kukopa kabla ya kuwa na wazo kwanza. Ninatakiwa niwe nimezirudisha benki baada ya miaka 15 kuanzia sasa...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
wajameni nisaidieni wapi nitapata kuku wa kiajeji kwa ajiri ya kufuga ,mfano kuchi nipatieni na gharama naitaji mitetea kumi na jogoo mmoja.natanguliza shukrani but napatikana Dar .
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wnana JF, Naomba kama kuna mwanaJF anajua fomular ya kutengeneza/kuchanganya Broiler, Layers, na Chick Mash anisaidie. Nitashukuru sana
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele!natafuta mtu mwenye Business Plan na Research ya hiyo business hapa Tanzania anisaidie nione kama nitaiweza na kama italipa!nawakilisha!
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta Ng'ombe wa maziwa prefarably anayefugiwa ndani ya Pwani (Dar, Kibaha, Bagamoyo) ambaye amezoea hali ya hewa hiyo. Mwenye mimba, na asiwe mzee. Mwenye tips anistue au abandike contacts...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuanzia mwezi sept 2012 mahindi yatakuwa yanapatikana arusha bei poa kuanzia gunia 5-1000 kama unahitaji tuwasiliane kwa no. 0719666830 ,0766852616
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu nimepokea taarifa ifuatayo nikaona bora niwawekee hapa: Ordersare invited from Tanzania, Kenya and/or Uganda Primary schools to buypublications whose cover pages are herewith attached...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mke wangu ni mwalimu wa shule ya msingi ambaye kwa muda mrefu amekuwa na wazo la kuanzisha biashara ya stationary hapa mjini Iringa. Chumba cha kufanyia hiyo biashara amepata nje ya geti la chuo...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Hii ni aibu kwa watoa huduma ya m-pesa,mfano umetumiwa hela na ndugu yako pengine hela ya ujenzi n.k,ukienda kwa wakala kuchukua anakuuliza unataka kiasi gani? anakuambia sina,unaenda tena pengine...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Forum, Naomba msaada kama kuna wanaojua au wenye uzoefu wa kutengeneza chakula cha kuku, anifundishe na kwa kuwasaidia wengine formula ya kutengeneza au kuchanganya chakula cha...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
wadau hivi hii biashara ya kuleta magari kutoka japan au dubai inalipa? Process zake zikoje?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwenye kijiji ninaoishi bei ya trei moja la mayai ni kati ya Tsh 6,000/= hadi 8000/= kutegemeana na msimu. Nimepata wazo nianzishe mradi wa kufuga kuku wa mayai (kuku wa kisasa). Mtaji wangu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Asali mbichi inapatikana. Usinunue iliyochakachuliwa. imefungwa kwenye containers za lita 1, 5, na 20. Kama unahitaji piga simu. 0713580690
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau, Kuuliza si ujinga. "Angel Investors" ni watu wa aina gani na, je, hapa nchini Tanzania wapo?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
closed!
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Hbr pple, Naulizia msimu wa kuvuna alizeti Singida ni kipindi gani na bei hua kiasi gani na kwa kipimo kipi tafadhali....Kwa mwana Jf anaeishi Singida plz anitafute kwa msaada zaid.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Mimi ni mtaalam wa fani inayoitwa Communication Arts. Nimehitimu chuo kikuu nchini Marekani. Ni bingwa katika kila kazi ninayoifanya. Baada ya kufanya kazi hapa Dar miaka kadhaa, nimeona kwamba...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama una Fedha za Kigeni ambazo hazichenjiwi Bureau de Change nyingi ni Pm ama ni Check kwenye; 0767-074040 0714-074040
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom