C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Ni wakati wa kujitegemea, kujiajiri na kupata kipato binafsi kwa kufanya ujasiriamali/biashara, sanaa, michezo au jambo lolote lile kwa lengo la kupata pesa. Siyo tena wakati wa kutegemea kuajiriwa tu.., fanya pia shughuli yako/zako binafsi ili kupata kipato binafsi.
Ili uweze kufanya hivyo kwa ufanisi zaidi unahitaji kupata elimu na uelewa husika. Kitabu changu cha Njia na Namna za Kufikia MAFANIKIO YA KIFEDHA kitakupatia elimu na uelewa wa kutosha kuhusu nini ufanye ili ufanikiwe kifedha. Kitabu tayari kiko sokoni tangu mwaka jana, 2011, na waliokisoma wanasema ndiyo kitabu bora zaidi katika vitabu vya ujasiriamali na mafanikio kwa ujumla nchini vilivyo katika lugha ya Kiswahili. Nina uhakika na wewe pia ukikisoma utakubaliana nao.
Sasa, kutokana na uhitaji wa kitabu hiki kuwa mkubwa (hasa kwa watu wa mikoani tofauti na Dar es Salaam) nimeamua kukiuza katika soft copy kwa shilingi elfu nne (4,000/=) tu ili watu wengi waweze kukipata. Kama unakihitaji tuma pesa yako kwa M-Pesa 0758 397557 au Tigo Pesa 0718 174415. Baada ya kutuma utapata nakala yako katika pdf ndani ya masaa 24. Hakuna ulaghai wowote kwani ni mimi mwenyewe Robert C.K nimeamua kuwasaidia wasomaji wangu kwa njia hiyo. Hapa nimekuwekeeni cover tu ya kitabu hicho.
NB: Hakikisha unanitumia jina lako kamili, email yako na namba ya simu uliyotumia kutuma pesa ili niweze kukutumia nakala yako kwa ufasaha. Email yangu ni chazyarobert@gmail.com
Ili uweze kufanya hivyo kwa ufanisi zaidi unahitaji kupata elimu na uelewa husika. Kitabu changu cha Njia na Namna za Kufikia MAFANIKIO YA KIFEDHA kitakupatia elimu na uelewa wa kutosha kuhusu nini ufanye ili ufanikiwe kifedha. Kitabu tayari kiko sokoni tangu mwaka jana, 2011, na waliokisoma wanasema ndiyo kitabu bora zaidi katika vitabu vya ujasiriamali na mafanikio kwa ujumla nchini vilivyo katika lugha ya Kiswahili. Nina uhakika na wewe pia ukikisoma utakubaliana nao.
Sasa, kutokana na uhitaji wa kitabu hiki kuwa mkubwa (hasa kwa watu wa mikoani tofauti na Dar es Salaam) nimeamua kukiuza katika soft copy kwa shilingi elfu nne (4,000/=) tu ili watu wengi waweze kukipata. Kama unakihitaji tuma pesa yako kwa M-Pesa 0758 397557 au Tigo Pesa 0718 174415. Baada ya kutuma utapata nakala yako katika pdf ndani ya masaa 24. Hakuna ulaghai wowote kwani ni mimi mwenyewe Robert C.K nimeamua kuwasaidia wasomaji wangu kwa njia hiyo. Hapa nimekuwekeeni cover tu ya kitabu hicho.
NB: Hakikisha unanitumia jina lako kamili, email yako na namba ya simu uliyotumia kutuma pesa ili niweze kukutumia nakala yako kwa ufasaha. Email yangu ni chazyarobert@gmail.com