Kikokotozi kwa ajili ya kukadiria ulishaji wa kuku watagaji

ANKOJEI

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
996
744
Updated.

KWA ANAYEHITAJI KIKOKOTOZI CHA HESABU ZA UFUGAJI WA KUKU BASI AWASILIANE NAMI


0752 693 692

Utapewa Bure

1. Kukokotoa kwa uhakika kiasi cha chakula kinachohitajika na kuku kulingana na umri wa kuku
2. Kukokotoa kwa uhakika kiasi cha utagaji kinachotarajia kutokana na idadi na umri wa kuku.
3. Kukokotoa kwa uhakika faida na hasara itokanayo na 1&2 hapo juu (conversion rate)

Kama utalipia elf 1000 utapewa na Kalenda ya ufugaji wa kuku,

Advanced, utalipia elfu5 na kupewa hivyo hapo juu vyote
1. Kukokotoa mtiririko wa pesa katika kipindi chote cha ufugaji wa kuku hadi kuuza, ili kujua mahitaji ya pesa katika vipindi mbalimbali na hivyo kuchukua tahadhari ya kifedha mapema (financial forecast)

Na kwa usimamizi wa mradi wako wa kuku (wakaazi wa Arusha) nipigie simu hiyo hapo juu.

Mara nyingi uwezo wetu wa kukadiria gharama za ulishaji chakula cha kuku unakuwa mdogo kutokana na au kukosa elimu ama ujuzi. Sasa kwa kutambua hilo nimetengeze kikotozi kwa ajili ya kukadiria chakula cha kuku.
1. Katika kikokotozi hiki utagundua ya kwamba mpaka kuku anaanza kutaga anakuwa ameshakula chakula kati ya kilo 6.5 na 7.5
2. Utaona ya kwamba kwa wastani utahitaji kama sh 7,000 ili kumpa kuku chakula na kumkuza mpaka aanze kutaga mayai
PIA
3. Kipindi kigumu ni kuanzia wakati kuku ana miezi mitatu na kabla hajaanza kutaga mayai. Katika kipindi hiki kuku wanakula sana na hawatagi hivyo wewe kazi yako inakuwa ni kutoa pesa tu kwa ajili ya kununua chakula. Hapa inahitajika mipango kabambe kama kukopa pesa benki, lakini pia ni wakati gani hasa na utahitaji kiasi gani?
Kujipanga na kujua pesa ya chakula utaipata wapi na muda gani
Kujua mahitaji yako ya chakula kwa wiki ili ijipange kwa ajili ya kupunguza gharama za usafiri endapo utakuwa unanua gunia mojamoja badala ya kununua chakula kingi kwa wiki au mwezi.
 
You are being invited
 

Attachments

  • IMG_20160201_203144.jpg
    IMG_20160201_203144.jpg
    264.9 KB · Views: 177
  • IMG_20160201_204854.jpg
    IMG_20160201_204854.jpg
    207.7 KB · Views: 175
  • IMG_20160201_203328.jpg
    IMG_20160201_203328.jpg
    192.1 KB · Views: 173
unamaanisha kuku wa mayai 100 mpaka wanaanza kutaga watakuwa wamekula mifuko 14 au
 
mkuu tuwasiliane, kuku 1 tangu aanze siku ya 1 hadi kutaga anakula kilo 7.5 had 8
 
kumbe ukiwa na banda na vifaa vya chakula vya kuku ukiwa na kama 1.3m unaweza ukawafuga kuku wa mayai mpaka wanaanza kutaga.... maana wanasema wakianza kutaga wanaweza wakawa wanajilisha wenyewe nikimaanisha unauza mayai then unanunua chakula chao...mfano kwa mwezi kipindi wanataga watakula mifuko 7.5 wakiwa kuku 100 then ukitoa gharama zote unapata kama kilo tatu hivi....currently yai moja sokoni utailiuza 250-300 tshs..
 
yaap kuna pesa hapo, mfano kipindi hiki mayai hakuna mtaani

kumbe ukiwa na banda na vifaa vya chakula vya kuku ukiwa na kama 1.3m unaweza ukawafuga kuku wa mayai mpaka wanaanza kutaga.... maana wanasema wakianza kutaga wanaweza wakawa wanajilisha wenyewe nikimaanisha unauza mayai then unanunua chakula chao...mfano kwa mwezi kipindi wanataga watakula mifuko 7.5 wakiwa kuku 100 then ukitoa gharama zote unapata kama kilo tatu hivi....currently yai moja sokoni utailiuza 250-300 tshs..
 
Back
Top Bottom