Natafuta sehemu wanayototoleshea mayai Dar

Natafuta sehemu wanayototoleshea mayai Dar

Bontowar

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2009
Posts
520
Reaction score
53
Please naomba kama kuna mtu anajua sehemu ya kutotoleshea mayai hapa DSM town tuwekee contact details hapa


shukran
 
contact sina ila napafahamu pale ubungo njia ya kwenda mwenge ukifika kona ya barabara ya chuo unaelekea upande wa kulia
 
Pale magomeni Mapipa, kuna kampuni ya IGP wanatotolesha vifaranga.
 
Namba yao ni 0713229245 wana machine za kutosha
 
Back
Top Bottom