Natafuta sehemu wanayototoleshea mayai Dar

Bontowar

JF-Expert Member
Feb 21, 2009
520
53
Please naomba kama kuna mtu anajua sehemu ya kutotoleshea mayai hapa DSM town tuwekee contact details hapa


shukran
 
contact sina ila napafahamu pale ubungo njia ya kwenda mwenge ukifika kona ya barabara ya chuo unaelekea upande wa kulia
 
Pale magomeni Mapipa, kuna kampuni ya IGP wanatotolesha vifaranga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom