Habari Zenu Wadau wa Jamii Forum!
Mimi ni Mkulima na Mfugaji wa Kuku.
Sasa mazao yangu ya kuku pamoja na Matunda yapo tayari ,natafuta soko.
Matunda nina Ekari Tano Approx Matunda 15,000 na...
Ndugu wananchi,
Ufugaji wa kuku ni biashara kubwa ambayo imewatajirisha wafugaji na wengi wao sasa ni matajiri wa kutupwa. Kwa mtu yeyote anayetaka kutajirika kupitia ufugaji wa kuku, naomba...
Heshima mbele wadau.
Naona kuna vijana wengi waliosomea kilimo na biashara wanahangaika kutafuta kazi kwa miaka mingi bila mafanikio. Nimeamua kuanzisha kazi ya kilimo mchanganyiko cha mboga...
Habarini wadau.
Nahitaji vifungashio vya mafuta ya nazi vilivyo na ubora wa hali ya juu ili kukidhi masoko ya ndani na nje.
Mawasiliano yafanyike katika usi huu.
Liko Tabata segerea..
linachukua kuku 400 wa nyama ...
au kuku 200 wa mayai..
limetengenezwa kwa ghorofa 4 kwa utaalamu wa hali ya juu kwa kutumia vipande vyepesi vya mbao na nyavu...
Mwenye nalo...
Habari wadau kwa wanaohitaji kuku wa kienyeji dar wapo 40 mitetea wakubwa kabisa wanataga majogoo 10 kwa sasa bei ni 14000 kila mmoja aliye serious anicheki hapa 0674522382 karibuni
Habari Wapendwa.
Napenda kuwataarifu kuhusu Mafunzo ya ujasiriamali kwa wakazi wa mkoa wa DODOMA
Darasa litahusika na mafunzo ya kutengeneza sabuni za mche, sabuni za unga, sabuni za maji na...
USIFANYE BIASHARA KAMA HUNA YAFUATAYO.
Sipendi kukuambia nini usifanye, kwa sababu ni hasi. Napenda kukuambia ni nini ufanye, ili iwe rahisi kwako kufuata vizuri.
Msisitizo unahitajika zaidi ili...
Wadau naomba kufahamishwa usalama wa hiki kikundi cha kukopesha watanzania cha focus vicoba, Je kuna mtu yeyote amefanikiwa kukopeshwa na kuendana na masharti yao ?
Wadau hebu angalieni...
Habari yenu JF members,
Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm. Pia tunatoa na hudumu ya kusafirisha...
Mimi ni mjasiriamali natafuta ushauri na connections na wadau wanaojihusisha au wenye uzoefu na biashara ya supply and demand ya viwanda vya mifugo.
Yoyote mwenye interest tafadhali...
Mimi ni mjasiriamali natafuta ushauri na connections na wadau wanaojihusisha au wenye uzoefu na biashara ya supply and demand ya viwanda vya mifugo.
Yoyote mwenye interest tafadhali...
Nina wazo la kuinvest kwenye mashamba ya miti ya mbao au milingoti, mwenye uzoefu kwenye sekta hii naomba ushauri namna ya kuanza, gharama za mwanzo hasa kwa anaenza small scale maeneo ya iringa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.