Ushauri na maoni

Ushauri na maoni

flint van sein

New Member
Joined
Aug 30, 2016
Posts
4
Reaction score
1
asalam alykum sisi nivijana ambao tulio jitolea kiakili na kimwili pia kuweza kujikwamua na maisha lakini as kama group wote ni wanafunzi malengo yetu nikujishughulisha kuyaanda future zetu hivyo tunge penda kupata ushauri wenu kwani tulifikiria kilimo hivyo (1)nikujua kilimo cha muda mfupi nikipi?(2)kinachukua muda gani?(3)njia zake za kulimia ?(4)kina nafasi gani ktk soko la kibiashara? Hivyo tu au kama kuna nyiongeza welcome muhimu jamani
 
Ni jambo zuri na hongereni sana kwa maamuzi hayo, binafsi nimependa. Je mpo wapi hasa ili iwe rahisi kuwapa mawazo muafaka. Lakini bila kujali mlipo, Nawashauri kilimo cha mboga mboga na matunda. Mchimbe kisima mfanye kilimo cha umwagiliaji kwa matunda kama nyanya, vitunguu, matikiti, matango, ndizi nk.Upande wa mboga kama spinach, mchicha, maboga nk hakika mtatoka.
KILA LA HERI
 
asalam alykum sisi nivijana ambao tulio jitolea kiakili na kimwili pia kuweza kujikwamua na maisha lakini as kama group wote ni wanafunzi malengo yetu nikujishughulisha kuyaanda future zetu hivyo tunge penda kupata ushauri wenu kwani tulifikiria kilimo hivyo (1)nikujua kilimo cha muda mfupi nikipi?(2)kinachukua muda gani?(3)njia zake za kulimia ?(4)kina nafasi gani ktk soko la kibiashara? Hivyo tu au kama kuna nyiongeza welcome muhimu jamani
 
Back
Top Bottom