Masahihisho Chakula na sio Chakura.wanabodi,
kwa yeyote anayefahamu soko na bei ya dagaa wa chakura cha kuku kwa hapa Dsm anijuze.asanteni
Unaweza kufika hapa kiwandani kwangu ubungo riverside..fide feeds,, 0654314066 (sms only) 0688314066 (call)Wasindikaji wa vyakura vya mifugo Dsm,jitokezeni!
Poa ngoja nikutafute muheshimiwaUnaweza kufika hapa kiwandani kwangu ubungo riverside..fide feeds,, 0654314066 (sms only) 0688314066 (call)