Wadau habari?
Nimefuatilia sana mitandaoni kuhusu hawa kuku aina ya Kuroiler, nimetokea kuwapenda kwa jinsi wanavyosifiwa ila sina uzoefu nao. Sasa kwenye pita pita zangu za kutaka kujua wapi nitapata hii mbegu nimeona kwenye mitandao ya kijamii kuna huyu mdau anaitwa Kakama EK (nimemwona facebook) akitangaza mara kwa mara kuwa anauza fertilized Kuroiler eggs. Ila yeye Yuko Uganda na anasafirisha kwa basi hadi Dar ambapo mhusika atapokea.
Naomba ushauri wa mambo yafuatayo.
Nimefuatilia sana mitandaoni kuhusu hawa kuku aina ya Kuroiler, nimetokea kuwapenda kwa jinsi wanavyosifiwa ila sina uzoefu nao. Sasa kwenye pita pita zangu za kutaka kujua wapi nitapata hii mbegu nimeona kwenye mitandao ya kijamii kuna huyu mdau anaitwa Kakama EK (nimemwona facebook) akitangaza mara kwa mara kuwa anauza fertilized Kuroiler eggs. Ila yeye Yuko Uganda na anasafirisha kwa basi hadi Dar ambapo mhusika atapokea.
Naomba ushauri wa mambo yafuatayo.
- Kama kuna mfugaji mzuri wa hawa kuku na anaweza kunipa mayai nitotoleshe maana mimi nina incubator.
- Je, kuna mdau ambaye alishawahi kufanya biashara na huyu jamaa wa Uganda ambaye anasafirisha, huyu mtu ni genuine kweli? Naogopa sana hizi biashara za mitandaoni.