Wanajamii nawasalimieni. Ninauhitaji mku wa sana wa kujua jinsi ya kufungasha maziwa (packaging). Nipo eneo zuri linalozalisha maziwa lakini soko ni baya. Nikifungasha nadhani nifanya biashara na kuwapatia wafugaji soko. Mwenye ufahamu anijuze.
Wanajamii nawasalimieni. Ninauhitaji mku wa sana wa kujua jinsi ya kufungasha maziwa (packaging). Nipo eneo zuri linalozalisha maziwa lakini soko ni baya. Nikifungasha nadhani nifanya biashara na kuwapatia wafugaji soko. Mwenye ufahamu anijuze.
TBS wapo ubungo maji ndipo ofisi zao zilipo nenda hapo ukapate ushauri zaidiWaone Tanzania Bureau of Standard wana kitengo cha ushauri na maabara ya vifungashio, watakusaidia.
TBS wapo ubungo maji ndipo ofisi zao zilipo nenda hapo ukapate ushauri zaidi