Njoo nikukodishie eneo la ufugaji

Njoo nikukodishie eneo la ufugaji

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,116
ni 35 kwa 35 huku maji kibao,miti ya kujengea banda takupeleka pahali ukate mpaka ukmbie bure,njoo ufuge kuku hapa kwangu ni mpakan mwa kibaha na kisarawe umaskini si wa kuendekeza.nicheck 0764726071
 
vp biashara ya mayai huko kinasoko lakutosha nataka kuja ekeza kuku wa kisasa kama 1000.hv
 
WAKUU, mbona nmeweka namba za cm hapo nashangaa mnaulza kuptia jf? samahan kama nmewakwaza, PIA NNA HEKA 3.5 HAPOHAPO NAUZA MIL.7 cash, ni center na ni barabarani..barabara inayopta hapa inatoka kongowe ya kibaha kwenda chanika,kisarawe. ASANTENI.
 
Hayo maswali yanayo uliziwa hapa jamvini, yanaweza kua na manufaa kwa muulizaji, muulizwaji pamoja na wasomaji wengine.
Hivyo jaribu tu kua na hekima pamoja na busara ikiwa utaweza na kwa manufaa ya wengi, ni vyema ukajibu kile kilichopo ndani ya uwezo wako.
 
sawa, unayeulza kuhusu soko la mayai, aisee huku utauzaje mayai huku watu wanafuga ksha wanatafuta masoko mjini,kuna jamaa wana bonge la shamba wanafuga kuku,kutotolesha,kuuza mayai soko kuu dsm, kuhusu bei niambie unalipa kwa mwez,miez 6,mwaka then takukadilia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom