Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habar za kaz wapendwa Nina vifaranga vya broiler vina karibia wiki 2 tatzo haviongezeki kwa kasi sijui nimekosea wap? Tisaidiane wenye uzoefu... Booster ipi nzur utawaamsha au nifanye nn? Thanks
0 Reactions
8 Replies
14K Views
Naomba kujua kuku wa kisasa wa mayai wanakua kwa mda gani mpaka kuanza kutaga,na je vifaranga vinauzwa bei gani.
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Wadau salaam, Kumekuwa na maneno kama uvumi kwamba moshi kuna mahindi mapya kutona mashambani yanavunwa muda huu, Naomba kuthibitishiwa hili na watu wa huko kwani mimi moshi siifahamu kabisa hata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuku wapo Mia wanataga mayai matano kwa siku pia wanakula vizuri ni kukuchotara wamechoma chanjo zote wamekatwa midomo hawafii ni wazima
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miti aina ya paina imefikisha kuchana mbao ipo njombe ninaiuza Namba angu 0763773826
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji40] [emoji40]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Napenda kufahamu ni vipi wakulima wa kahawa wanavyofaidika na ukulima wao, katiika mikoa inayotoa hii kahawa na zipi challenge zao kubwa. Pia,napenda kufahamu wapi zabibu inatoka vizuri na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanafamilia ya Jamii Forum na heri ya mwaka mpya pia, Wakuu,kipato hakikidhi mahitaji ya muhimu na msingi hasa kwa kutegemea mshahara.Hivyo nimeona naweza nikageukia kilimo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habarini za majukumu,samahani ningeomba kujuzwa kama honey king wananunua asali kwa wauzaji wadogo na kama ndio wananunua kwa bei gani?na kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao anisaidie maana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo langu Kubwa Ila halina fensi Sasa natamani kufuga kuku 50-100 Naombeni ushauri na gharama za ujenzi wa banda la kuku
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wakuu nna automatic incubator lakini cjapata kifaranga hata kimoja cha bata mara mbili mfululizo lakini mayai ya kuku yanatoka vizuri tu naombeni msaada wakuu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Asalaam kama ulivyosoma hapo nje mkuu, mi kijana katika kutafuta maisha nikaona niguse kila mahali nitafute mtaji kwanza mwenye utaalamu au anaejua kuhusu kilimo hicho anielekeze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu... Kwa heshima na taadhima naomba kupata darasa kuhusu ufugaji wa nyuki kwa ajili ya asali. Kwa wale wa Tabora, Arusha au popote pale kwenye kilimo hiki naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba msaada nimefuga kanga na kuku upande wa kuku hakuna tatizo ndipo nikaona nijiongeze kufuga kanga. Ni eneo kubwa sana wanapata chakula cha kutosha tatizo wanataga vichakani bila...
1 Reactions
10 Replies
27K Views
jaman wana jamvi aiseee huku kwetu ukame umezid sana hadi mazao tuliyoyalima yameanza kukauka kutokana na ukosefu wa mvua mungu awe nasii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu napenda kuwataarifu kuwa mvua zimeanza ,karibia kila kona ya tanzania,nyanda za kusini,kanda ya ziwa, pwani,kanda ya kati, kazikazini na kwingineko. kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba
1 Reactions
2 Replies
961 Views
Hello team, nahitaji kufanya biashara ya ununuzi wa choroko so ningependa kujua hasa msimu wa mavuno unaanza lini na ni mikoa ipi hasa choroko upatikana kwa wingi ili nianze kujipanga mapema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za mihangaiko wanajamvi
2 Reactions
1 Replies
2K Views
wana wiki 2 jee nitibu na dawa gani?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…