Ukosefu wa mvua nchini: Kilimo cha umwagiliaji ni suluhu tosha, tuna vyanzo vingi vya maji

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
212
719
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile.

Tanzania ina eneo lenye rutuba zaidi ya hekari laki 142, Tanzania ina mabonde yenye rutuba, mito, maziwa, bahari na hata huo Mto Nile umeanzia Ziwa Victoria,cha ajabu tunalialia kukosa mvua.

Kwann tusilimi kwa umwagiliaji wananchi wakapata faida.

Kwann tusiwekeze kwenye umwagiliaji kwa kutumia vyanzo kukuki vya maji vilivyopo??

Yaani m kwikwi.
 
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile.

Tanzania ina eneo lenye rutuba zaidi ya hekari laki 142, Tanzania ina mabonde yenye rutuba, mito, maziwa, bahari na hata huo Mto Nile umeanzia Ziwa Victoria,cha ajabu tunalialia kukosa mvua.

Kwann tusilimi kwa umwagiliaji wananchi wakapata faida.

Kwann tusiwekeze kwenye umwagiliaji kwa kutumia vyanzo kukuki vya maji vilivyopo??

Yaani m kwikwi.
Hivyo vyanzo viko wapi?hapa morogoro mito yote imekauka,bwawa la mindu mvua isiponyesha mwezi huu tutakosa maji ya kunywa mji wote!acha kabisa tumuombe mungu hali tete!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile.

Tanzania ina eneo lenye rutuba zaidi ya hekari laki 142, Tanzania ina mabonde yenye rutuba, mito, maziwa, bahari na hata huo Mto Nile umeanzia Ziwa Victoria,cha ajabu tunalialia kukosa mvua.

Kwann tusilimi kwa umwagiliaji wananchi wakapata faida.

Kwann tusiwekeze kwenye umwagiliaji kwa kutumia vyanzo kukuki vya maji vilivyopo??

Yaani m kwikwi.
Mkuu wazo lako ni zuri sana tena sana,sasa kwanini wewe usitumie hiyo fulsa kwa kuzalisha chakula cha kulisha inchi nzima,maana uzuri wa kilimo cha kisasa mtu mmoja anaweza kulisha nchi nzima ........??
 
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile.

Tanzania ina eneo lenye rutuba zaidi ya hekari laki 142, Tanzania ina mabonde yenye rutuba, mito, maziwa, bahari na hata huo Mto Nile umeanzia Ziwa Victoria,cha ajabu tunalialia kukosa mvua.

Kwann tusilimi kwa umwagiliaji wananchi wakapata faida.

Kwann tusiwekeze kwenye umwagiliaji kwa kutumia vyanzo kukuki vya maji vilivyopo??

Yaani m kwikwi.
Hujasikia wenzako juzi walikuwa wanalia watarudisha vipi mikopo bank..maana vitunguu vyao vimekufa kuna mkuu aliagiza pump zao za kusukuma maji kwa umwagiliaji zinyofolewe...
Au unazungumzia umwagiliaji kwa wenzetu wa mto nile huko
 
Back
Top Bottom