Kuku wangu hawatagi mayai nifanyeje?

Kuku wangu hawatagi mayai nifanyeje?

Joined
Dec 27, 2016
Posts
5
Reaction score
1
Kuku wapo Mia wanataga mayai matano kwa siku pia wanakula vizuri ni kukuchotara wamechoma chanjo zote wamekatwa midomo hawafii ni wazima
 
Wape buster,au,,kamata wawili peleka kwa katunzi waombewe uwarudishe uje utupe mrejesho
 
Back
Top Bottom