Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kwa yeyote anaeijua Makambako vizuri naomba anifahamishe Mambo yafuàtayo 1) Ardhi kwa ajili ya kilimo inapatikana kwa shilingi ngapi kwa heka 2) Mazao yapi ya biashara yanastawi sana 3)...
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Wakuu habari za majukumu. Ninatafuta mashine ya kufungia malisho ya mifugo (baling machine) aina ya CLAAS au NEW HOLLAND Tafadhali tuwasiliane iwapo unayo au unamfahamu aliyenayo
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ugonjwa unaowaathiri sana ng'ombe, mbuzi na kondoo kwa kushambulia kwato na miguu yao, ujulikanao kama foot rot (kuoza kwa miguu) sasa umepata suluhisho kwa tiba asilia 100%. Baada ya hiki...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Heshima kwenu wana JF, Naombeni mchango wenu katika kuboresha wazo langu la uwekezaji ambalo natarajia kuanza utekelezaji miezi ya karibuni. Mimi ni msomi wa kawaida nilifanya kazi kwenye NGO...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Wadau mm nipo mkoa wa Iringa natafuta soko au watu binafsi wenye uhitaji wa mabanzi au makapi ya mbao mkowa wowote tuwasiliane ili tufanye biashara namba yangu ni 0767879732. Hii ni picture ya...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu hivi mashudu ya pamba yanapatikana wapi kwa wingi na bei yake ni bei gani? kuna wahindi apa dar wanayaulizia hivyo natafuta pa kuyapata niwe nawaletea mzigo. naomba anaye jua anifahamishe...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari za mihangaiko wananzengo..ninahitaji Water pump kama kuna mtu anauza tafadhari used lkn iwe katika ubora wa kutumika. **Iwe inatumia Petrol ** Inch 3 Nina 200,000/= taslim kwa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni aina ya vyakula vya mifugo na bei zake kwa eneo ulilopo pia ushauri wenu juu ya biashara ya kuuza vyakula vya Kuku Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanajf nimeamua kuingia kwenye kilimo cha mpunga mbeya but sielewi wapi pa kuanzia Km kuna anaeelewa naomba kujulishwa mchanganuo mfano gharama za ukodishaji shamba heka ni bei gn na...
3 Reactions
22 Replies
17K Views
Wadau salaam. Natafuta dawa hyo kwa udi na uvumba. Mwenye kujua naipata wapi pls pls naomba unijulishe Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Habari za Majukumu wadau wa sekta ya kilimo. Kumekuwa na post mbalimbali kutoka kwa wadau wa ufugaji wakiulizia vifaa mbalimbali vinavyohusiana na ufugaji kwa ujumla wake. Kuna wengi wamejitokeza...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
wakuu tunamba ushauri juu ya soko la mboga na mahindi mabichi kwa hapa dar, tumepata shaba wastani wa ekar 5 ambazo tunatazamia kulima mboga mboga kama majani ya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Inawezekana kabisa humu jf Kuna wataalamu wa Kilimo tena ni wabobezi katika sekta hiyo.. Nimeona Kuna watu humu wanaomba msaada wa kuzalisha baadhi ya mazao, Mfano maharage, mihogo..nk. Cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WAJAMENI, KWA ANAYEJUA, nimekuwa nikitaka kujua namna ya kupata namba special za kuuza na kununulia vitu online kutoka kwa vodacome na tigopesa, ambapo watu wanaweza kununua vitu kwangu na mimi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Niwatakie Jumapili njema, Kuna tatizo linanisumbua kutokana na kuku wangu wa kienyeji kutaga sehemu moja kwa pamoja (Kuku wawili hata watatu wanataga kwenye kiota kimoja). Nimejaribu kuweka viota...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natumai mu wazima. Naulizia kwa mkoa wa Arusha ni maeneo gani naweza pata shamba la kuanzia ekari 30 kwa ajili ya kulima mahindi. Hata kama kuna anayejua na mkoa wa Manyara pia naomba anijuze...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Eneo zuri linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugajia wa samaki lenye hekar 2.lipo mita 100 kutoka mto ruvu,mita chache kutoka mradi wa samaki wa ruvu fish,eneo lipo halmashaur ya mji kibaha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ngo'mbe wangu anashindwa kutembea. Alikuwa ameanguka wiki mbili nikampa chumvi na injection ya gluconate akaamuka. jana mchungaji akampeleka milishoni akakaa chini haamki ingawa anakula...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanini VITUNGUU katika shamba lako vishambuliwe na UTITIRI NA CHAWA wakati dawa ipo? Tumia PROTRIN 60EC. Wasiliana nasi, Meru Agro Piga 0755 325 442 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
14K Views
Wakuu mwenye taarifa za bei na mwenendo wa soko la mbaazi msimu huu naomba azimwage hapa.
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom