sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
Habari wana jamii
Mimi ni kijana nilie ajiriwa sekta binafsi na pia nimejiari pia katika ufugaji wa kuku wa kienyeji.
ijapokua sina uelewa na baadhi ya madawa ya kuku na magonjwa yao.
Wapo kuku nilimwona anachechemea,yupo mwenye kinyesi chenye rangi kama damu,naomba msaada na pia nataka kuwapa chanjo ya newcastle, nidawa gani ninunue na bei zake
asante
Mimi ni kijana nilie ajiriwa sekta binafsi na pia nimejiari pia katika ufugaji wa kuku wa kienyeji.
ijapokua sina uelewa na baadhi ya madawa ya kuku na magonjwa yao.
Wapo kuku nilimwona anachechemea,yupo mwenye kinyesi chenye rangi kama damu,naomba msaada na pia nataka kuwapa chanjo ya newcastle, nidawa gani ninunue na bei zake
asante