PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,259
Wanajamii,
Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata mzinga naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato.pia itakuwa vizuri tukipewa majibu ya maswali yafuatayo
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanaatamia mayai kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje?
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara?
5. Je, naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia incubator?
-Ndumilakuwili-
Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata mzinga naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato.pia itakuwa vizuri tukipewa majibu ya maswali yafuatayo
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanaatamia mayai kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje?
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara?
5. Je, naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia incubator?
-Ndumilakuwili-