Emoj
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 839
- 1,314
Habari wana kilimo.Nimekuwa nikisia habari ya kilimo kwa kutumia Technolojia ya Hydroponics ambayo mkulima haitaji kuwa na Ardhi ili aweze kulima, anachohitaji ni kuwa na hiyo system ya hydoponics.
Kilimo hichi unaweza kulima mbogamboga na matunda pasipo kutumia udogo.
Naombeni wenye uelewa kuhusu kilimo hiki wanisaidie tafadhali.wapi naweza pata wataalam wa hichi kilimo?
na pia capital ya kuanzia kufanya hichi kilimo.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo hichi unaweza kulima mbogamboga na matunda pasipo kutumia udogo.
Naombeni wenye uelewa kuhusu kilimo hiki wanisaidie tafadhali.wapi naweza pata wataalam wa hichi kilimo?
na pia capital ya kuanzia kufanya hichi kilimo.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app