King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
Salaam Wakuu.!
Ni kwamba kwa bajeti kuu ya serikali 2017-2018 tuliambiwa kuna punguzo la kodi kwa 18% kama sikosei katika pembejeo za kilimo (mbegu,mbolea n.k) lakini tunaenda msimu wa Kilimo WAKULIMA hatuoni bei za pembejeo kushuka ,Bei ni zilezile.!
Hii imekaaje Wakuu!? Tunawezaje kufikisha suala hili sehemu husika!?
Nawasilisha,
Asanteni.
Ni kwamba kwa bajeti kuu ya serikali 2017-2018 tuliambiwa kuna punguzo la kodi kwa 18% kama sikosei katika pembejeo za kilimo (mbegu,mbolea n.k) lakini tunaenda msimu wa Kilimo WAKULIMA hatuoni bei za pembejeo kushuka ,Bei ni zilezile.!
Hii imekaaje Wakuu!? Tunawezaje kufikisha suala hili sehemu husika!?
Nawasilisha,
Asanteni.