VIJANA TURUDI VIJIJINI TUNUNUE ARDHI
Na Eng AYUB MASSAU
Habari ndugu watanzania popote mlipo katika kuijenga nchi yetu ya Tanzania na kuhakikisha tunafikia nchi ya uchumi wa kati kama dira ya...
Nimefurahishwa sana kuwaona baadhi ya wanawake wa kiislamu nao wakijihusisha na shughuli za ujasiriamali.
Nimekutana leo na wanamama kadhaa, na baibui zao wakiwa wamebebea vitu kama vile nguo...
Kwa Ushauri kuhusu Kilimo Biashara WIGO Farming Production wapo Tayar kwaajili Yako.Kwa Ujumla Kuhusu GreenHouse Kufunga system za Umwagiliaji Maji shambani drip irrigation,Kuuza na Kununua Mazao...
ndugu zangu wakulima wenzangu habari za asubuhi?natumai mnaendelea vyema,nilikua naomba kujuzwa jinsi ya kusindika mahindi yaweze kukaa kwa muda mrefu bila kuharibika au kuliwa na...
Habarini humu..
Kwa ambao mshalima au wataalamu wa tikiti naomba ushauri huu ni ugonjwa gani na nini athari yake?
Nlidhani itakua chawa lakini mmea wote nimekagua hamna chawa. Pia kuna manyunyu...
Kilimo Bora cha Nyanya; Maandalizi Ya Mbegu, Shamba Na Upandaji Wa Miche
Utangulizi:
• Nyanya ni zao la mboga ambalo hulimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama...
RAMANI YA UFUGAJI WA KUKU
(POULTRY FARMING MAP)
Hii ni Ramani ya kipekee kabisa itakayo kuongoza kufikia safari yako ya ufugaji wa kuku. Ramani hii imesheheni njia mbali mbali za wewe kupita ili...
Habari Wana JF,
Baada ya kupigwa na ugumu wa maisha kila wazo naona lina bounce,
Ningependa kufanya biashara ya Kununua TOYO ile three wheel ya kubeba mizigo masokoni afu mwisho wa siku nipate...
Mimi ni mhitimu wa elimu ya juu mwaka huu na katika tathmini yangu swala la kusubiria ajira inaweza kusababisha ndoto zangu zisitimie kwani napoteza muda kwani wakati mwingine najikuta nikitamani...
Wandugu poleni na majukumu ya kila siku,
Kilicho nisukuma kutumia dakika kadhaa kuandika hapa ni kuwa nahitaji mtu anae elewa mambo mengi kuhusu zao la alizeti, kwa mfano, linapo limwa kwa wingi...
Wakuu kuku wangu hawa wa asili nimewanunua muda mrefu kweli lakini hawatagi wana tetea tu muda wote lakini kutaga hawatagi sijajua tatizo ni nini naombeni ushauri wenu tafadhali.
Sent using...
Nina kanga mmoja tu jike, sasa nashangaa jogoo anataka kumpanda huyu
Kanga, Kama kafanikiwa sijaona maana nimechoka kusubiria.
Ninachouliza kwenu wadau, hivi ikitokea kuwa hivyo ni ndege aina...
wakuu niliotesha papai langu Mungu mkubwa limeota vizuri na limetoa matunda ya kutosha .sasa hivi sijui limepata majanga gani matunda yote yapo kama yamemwagiwa unga unga hiv,
naombeni ushauri...
Nina ndoto za kua mjasiriamali mkubwa, wazo kuu linalo nijia kichwani ni kuanza kua na eneo la kujitosheleza ambalo nitahitaji mtaji mdogo tu wa kuanzia ambao mpango wa kwanza niku uwekeza katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.