Wanajamii,
Kama kuna mtu ana utaalam wowote wa ufugaji wa bata mzinga naomba tupeane elimu ili tuweze kufuga kisasa kwa ajili ya kutengeneza kipato.pia itakuwa vizuri tukipewa majibu ya maswali...
Habari wakuu,
Natarajia kuvuna matikiti Mungu akinijalia ndani ya wiki tatu baada ya changamoto kadhaa za kilimo hiki. Msimu uliopita nlimkabidhi mzigo mmoja wa madalali wa pale Buguruni sokoni...
Habari wana jamii
Mimi ni kijana nilie ajiriwa sekta binafsi na pia nimejiari pia katika ufugaji wa kuku wa kienyeji.
ijapokua sina uelewa na baadhi ya madawa ya kuku na magonjwa yao.
Wapo kuku...
Habar wanajamvi mimi ni mjasiliamali mdogo na pia nimeanza kulima mahindi ila nataka kujua kuhusu mbegu za mahindi hybrid kama unaweza kupanda misimu miwili mfulilizo yaani nimependa kwenye masika...
Wana Jamii,
Habarini ya mapumziko?
Naomba msaada wenu kupata maelekezo juu ya Biashara ya Chumvi.
Nataka kuwekeza kwenye usagaji na upakiaji wa chumvi ya baharini kwa matumizi ya binadamu na...
Habari wana kilimo.Nimekuwa nikisia habari ya kilimo kwa kutumia Technolojia ya Hydroponics ambayo mkulima haitaji kuwa na Ardhi ili aweze kulima, anachohitaji ni kuwa na hiyo system ya...
Eneo linalohitajika ni mita mbili (2), Kwa maana ya Urefu wa mita mbili (2) na Upana wa mita moja (1).
Huu ni ufugaji wenye tija kwa wale wafugaji wenye eneo dogo.
Kinakachofanyika katika hilo...
Wadau naomba msaada nataka kujua ukubwa wa banda (square mita) la kufugia kuku wa mayai na idadi ya kuku inayotakiwa... i.e kwa kuku wa mayai 300 kwa mfano, inatakiwa banda la ukubwa gani? Pia kwa...
Mashine za kuangulishia vifaranga zenye ubora na uwezo wa hali ya juu zunauzwa. Ni kuanzia mayai 120--5000. Mashine zinatumia umem kidogo na zinatunza joto kwa muda mrefu. Ufanisi wake ni zaid ya...
Wasalaam kama inavyojieleza katika heading, katika jitihada zetu za kupambana na umasikini na kutegemea kuajiriwa tu nimeiona fursa katika kilimo na naomba msaada wa wadau ambao wako na utayari wa...
Ndugu, jamaa na marafiki zangu habari zenu. Nikiwa mdau na mkeleketwa wa kilimo huwa napata uchungu sana pale mkulima anaponunua mbegu ambayo inamletea mavuno duni, wakulima wanashindwa kuendelea...
Habari wana jamii forum, zao la korosho nimeona likilimwa sana pwani sasa nimekua nikijiuliza hivi je kuna uwezekano wa kulima hili zao la korosho katika ukanda wa ziwa (ziwa viktoria, Mwanza...
wakuu ni matumaini yangu kuwa mpo salama wasalmini...kutokana na hali ya kiuchumi na kutafuta ajira bila mafanikio, na kutokana na kusubiri ajira za serikali bila mafanikio, nimeamua kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.