Habari wakuu!
Kama ilivyo kwa zao la CHOROKO, zao la MBAAZI nalo limeleta kilio kwa wakulima wa mkoa wa Mtwara kwani hadi leo hii linanunuliwa Tsh 300/= kwa kilo moja ukizingatia gharama ya...
Thousands of tonnes of highly-toxic weed killer not authorized for use in the EU is being produced in Britain and exported to the developing world, it has been revealed.
Paraquat, a pesticide that...
EFC ni taasisi ya fedha inayotoa mikopo kwa wajasiliamali na wafanysbiashara ndani ya mkoa wa dar es salaam kwa sasa. kwa wafanyabiashara wa ushonaji,duka,salon,bucha,viwanda vidogo...
Mwezi wa kumi kuazjia tarehe 2 hadi 8 kutakuwa na Maonyesho ya kimataifa ya kilimo ya Nairobi. Haya ndo maonyesho makubwa kabusa Africa mashariki na kati.
Kwa watako taka kwenda.
Tutaondoka...
Twamshukuru mungu tumeanza mwezi mtukufu kwa amani,mie ni mfanya biasha wa nguo za watoto na wakubwa naomba mtu anae weza nikopesha pesa bila riba,nashida ya milioni moja nitarudisha baada ya...
Hamjambo WanaJamii
Kero kubwa kwa mkulima hasa pale anapokua akihesabu 'vifaranga', ni wadudu wanaokula mazao yanapohifadhiwa. Swala hili limekera tangu binadamu wa kwanza kugundua kuhifadhi...
Wasalamu,
Wana Biashara na uchumi,Nimekuwa na idea ya kutengeneza t_shits special kwa couples,niwe nadesign mwenyewe mtindo then nipeleke kiwandani wanitengenezee.Naombeni muongozo ni viwanda...
Wataalamu wa kilimo naomba msaada, mahindi yameshambuliwa na wadudu.
Wadudu hao hushambulia katikati ya jani tete linalo chipuka. Nitumie dawa gani ili ninusuru mahindi yangu na ya wengine maana...
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo)
Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa?
Msaada kwa anayeelewa.
#commred Chichimizi
Wakuu naomba kujua bei ya ya alizeti singida kondoa au babati imefika sh ngapi gunia ya debe 6 nahitaji gunia 100. Mashudu pia gunia 200
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba msaada kwa yeyeote mwenye uelewa, mimi nimepanda miti ya miashuki kuzunguka plot yangu lkn ukuaji wake haulizishi kabisa , sasa ni miaka minne lkn mti mkubwa una mita moja na nusu na...
Wakuu kwa mwenye ujuzi wa kutosha kuhusu kilimo hiki naomba kujuzwa. kuhusu mbegu kiasi gani kinahitajika kwa hekari , changamoto ya magonjwa na Wastani wa mavuno kwa hekari ni gunia ngapi za...
Msaada tafadhali wajemeni. Nina shamba mahala ambapo nataka kupanda miembe. Ushauri? Wapi nitapata miche ya miembe?
Nipo Dar.
======
Zao la embe hustawi vizuri katika maeneo ya tambarare na...
Habari wana JF!!
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Kwenye hii posti nakaribisha maswali yoyote yanayohusu kilimo cha umwagiliaji!! Kama una swali kuhusu kilimo cha umwagiliaji usisite...
JISAJILI MAPEMA:
MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA CHA MBAAZI KUPITIA WHATSAPP
Tanzania graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz kwa kushirikiana na Kampuni ya ushauri wa kitaalam ya...
Wanabodi,
Kwanza naomba kukiri kuwa mimi sio mkulima, ila kilimo kinanihusu, kama kinavyomhusu kila Mtanzania.
Wangapi wanatambua uwepo wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu nchini Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.