ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Habari wadau..
Natafuta mtaalamu wa kunivutia nyuki shambani kwangu. Kama kuna mwenye mawasiliano naomba msaada.
Shamba liko Mkuranga na malipo nitafanya baada ya nyuki kuhamia kwenye mizinga yangu sababu nishatapeliwa na wataalam hewa.
Natafuta mtaalamu wa kunivutia nyuki shambani kwangu. Kama kuna mwenye mawasiliano naomba msaada.
Shamba liko Mkuranga na malipo nitafanya baada ya nyuki kuhamia kwenye mizinga yangu sababu nishatapeliwa na wataalam hewa.