kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 625
Habari zenu ndugu zangu,
Naomba kwenye taarifa zozote kuwa wapi naweza kupata mkopo wa kilimo anisaidie,natafuta kukopa kiasi cha 3mil. Kwa lengo la kuimarisha Shamba la mpunga lililoanza tayari Mkoani Morogoro- Dumila.
Hekari tatu ni umwagiliaji na hekari saba ni kawaida jumla ni Shamba la hekari kumi lisilokuwa mahala pamoja.
Karibuni sana kwa msaada wa taarifa na mawazo.
Naomba kwenye taarifa zozote kuwa wapi naweza kupata mkopo wa kilimo anisaidie,natafuta kukopa kiasi cha 3mil. Kwa lengo la kuimarisha Shamba la mpunga lililoanza tayari Mkoani Morogoro- Dumila.
Hekari tatu ni umwagiliaji na hekari saba ni kawaida jumla ni Shamba la hekari kumi lisilokuwa mahala pamoja.
Karibuni sana kwa msaada wa taarifa na mawazo.