Mrejesho: kilimo cha tikiti & msaada

g4cool

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
428
200
Wadau, baada ya kusoma sana mada mbalimbali zinazohusu tikiti na kuelewa, nilijipanga na kumtafuta mtaalamu atakaeweza kunisimamia na kilimo cha tikiti, Mungu ni mwema nilimpata na mwezi wa 9 nilianza, nimelima heka 3, mbegu ni kutoka balton Arusha, na baada ya wiki tatu yatakuwa yanaanza kuvunwa, shamba liko Korogwe Tanga so wandugu
1. nashukuru sana kwa elimu na michango yenu iliyopelekea kunifikisha hapa
2. Naomba kama kuna mtu anaefahamu mtu anaeweza kununua ili nianze kufanya nae mipango mapema, ukiwa interested pls njoo PM tuyajenge (nimejaribu kuapload picha nyingine zinagoma)
 

Attachments

  • 20171113_161429.jpg
    20171113_161429.jpg
    221.7 KB · Views: 138
Wadau, baada ya kusoma sana mada mbalimbali zinazohusu tikiti na kuelewa, nilijipanga na kumtafuta mtaalamu atakaeweza kunisimamia na kilimo cha tikiti, Mungu ni mwema nilimpata na mwezi wa 9 nilianza, nimelima heka 3, mbegu ni kutoka balton Arusha, na baada ya wiki tatu yatakuwa yanaanza kuvunwa, shamba liko Korogwe Tanga so wandugu
1. nashukuru sana kwa elimu na michango yenu iliyopelekea kunifikisha hapa
2. Naomba kama kuna mtu anaefahamu mtu anaeweza kununua ili nianze kufanya nae mipango mapema, ukiwa interested pls njoo PM tuyajenge (nimejaribu kuapload picha nyingine zinagoma)
Kuwa mwangalifu Mjini Chai asije akakusikia!
 
Wadau, baada ya kusoma sana mada mbalimbali zinazohusu tikiti na kuelewa, nilijipanga na kumtafuta mtaalamu atakaeweza kunisimamia na kilimo cha tikiti, Mungu ni mwema nilimpata na mwezi wa 9 nilianza, nimelima heka 3, mbegu ni kutoka balton Arusha, na baada ya wiki tatu yatakuwa yanaanza kuvunwa, shamba liko Korogwe Tanga so wandugu
1. nashukuru sana kwa elimu na michango yenu iliyopelekea kunifikisha hapa
2. Naomba kama kuna mtu anaefahamu mtu anaeweza kununua ili nianze kufanya nae mipango mapema, ukiwa interested pls njoo PM tuyajenge (nimejaribu kuapload picha nyingine zinagoma)

Mkuu kwanza hongera sana. Lakini naomba kuuliza uliingia kwenye biashara kabla ya kuangalia soko? Hii ni Changamoto ya wajasiriamali wengi wa nchi hii. Tujitahidi kuhakikisha tunafanya market research kabla ya kufanya investments. Ni muhimu kwa ustawi wa biashara zetu. Otherwise hongera na kila la kheri!
 
Hauna mawasiliano nao?? Au hawana page kwenye mitandao ya kijamii??
Kaka biashara za maana hazifanywi na wasomi wao ni kuchat chat tu humu ,wakulima market nisoko kubwa sana HATA UENDE NA NAZI UNAUZA CHAPCHAP BEI SIO YA FAIDA KIIVYO ILA KAMA UMELIMA MWENYEWE NA UNAKODI GARI MWENYEWE MALI UTAIPATA SHAMBANI MAZAO YA UHAKIKA PALE NI TANGAWIZI TSHS 1600 KWA KILO ,NGWARA TSHS 1200 HADI 1800 KWA KILO TEGEMEANA NA SIKU ,MATIKITI AROUND MIL 7 KWA NUSU FUSO
 
Kaka biashara za maana hazifanywi na wasomi wao ni kuchat chat tu humu ,wakulima market nisoko kubwa sana HATA UENDE NA NAZI UNAUZA CHAPCHAP BEI SIO YA FAIDA KIIVYO ILA KAMA UMELIMA MWENYEWE NA UNAKODI GARI MWENYEWE MALI UTAIPATA SHAMBANI MAZAO YA UHAKIKA PALE NI TANGAWIZI TSHS 1600 KWA KILO ,NGWARA TSHS 1200 HADI 1800 KWA KILO TEGEMEANA NA SIKU ,MATIKITI AROUND MIL 7 KWA NUSU FUSO
Uko wapi mkuu? Nimejaribu kukutumia PM naona inagoma, wish to talk to u via mobile phone kama hutajali mkuu
 
Wadau, baada ya kusoma sana mada mbalimbali zinazohusu tikiti na kuelewa, nilijipanga na kumtafuta mtaalamu atakaeweza kunisimamia na kilimo cha tikiti, Mungu ni mwema nilimpata na mwezi wa 9 nilianza, nimelima heka 3, mbegu ni kutoka balton Arusha, na baada ya wiki tatu yatakuwa yanaanza kuvunwa, shamba liko Korogwe Tanga so wandugu
1. nashukuru sana kwa elimu na michango yenu iliyopelekea kunifikisha hapa
2. Naomba kama kuna mtu anaefahamu mtu anaeweza kununua ili nianze kufanya nae mipango mapema, ukiwa interested pls njoo PM tuyajenge (nimejaribu kuapload picha nyingine zinagoma)
Vp mkuu kuhusu mrejesho, ulifanikiwa kuuza kwa bei gani na changamoto nyingne?
 
Vp mkuu kuhusu mrejesho, ulifanikiwa kuuza kwa bei gani na changamoto nyingne?
Kiukweli mkuu kilimo kilienda vzr sana mwanzoni, miche karibia yote iliota na matunda yalitoka sana, yaan ulikuwa ukienda shamba unafurahi, ila shamba likiwa na siku kama 57 hv, ikanyesha mvua mfululizo ya siku 3 shamba lote likafunikwa na maji, ngoja niishie hapa mkuu
 
Kiukweli mkuu kilimo kilienda vzr sana mwanzoni, miche karibia yote iliota na matunda yalitoka sana, yaan ulikuwa ukienda shamba unafurahi, ila shamba likiwa na siku kama 57 hv, ikanyesha mvua mfululizo ya siku 3 shamba lote likafunikwa na maji, ngoja niishie hapa mkuu
Daaaaaaah pole mkuu.....unanishauri nini Mimi ninaetaka mwez Wa 7 niende njombe kulima viazi ....ndio kitakua kilimo changu kwa mala ya kwanza.....sijawah kujihusisha na kilimo
 
Daaaaaaah pole mkuu.....unanishauri nini Mimi ninaetaka mwez Wa 7 niende njombe kulima viazi ....ndio kitakua kilimo changu kwa mala ya kwanza.....sijawah kujihusisha na kilimo
Kafanye mkuu, hata mimi ilikuwa mara ya kwanza kulima, na mwezi wa 7 nitalima tena tikiti so wala usiogope, utajifunza kutokana na changamoto utakazo kutana nazo
 
Kiukweli mkuu kilimo kilienda vzr sana mwanzoni, miche karibia yote iliota na matunda yalitoka sana, yaan ulikuwa ukienda shamba unafurahi, ila shamba likiwa na siku kama 57 hv, ikanyesha mvua mfululizo ya siku 3 shamba lote likafunikwa na maji, ngoja niishie hapa mkuu
Mkuu ungemalizia tu, ili tupate changamoto vzur zaidi ilikuwaje baada ya hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom