chilamanyika
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 405
- 272
Ndugu zangu wakulima umezuka ugonjwa mbaya unashambulia mimea ya mahindi kwa kasi sana,
ugonjwa huu uta waathiri sana wakulima wa mahindi mkoa wa Rukwa iwapo haitadhibitiwa mapema.
Mkuu huo siyo ugonjwa bali ni funza anayeingilia hapo juu ya mmea na kutoboa, anaitwa maize stalk borer. Zamani tulikuwa tunamwangamiza kwa kutumia dawa ya unga inaitwa Thiodan powder 1%. Siku hizi naona wabatumia Mupocron, Duducron, Farm guard n.kNdugu zangu wakulima,
Umezuka ugonjwa mbaya unashambulia mimea ya mahindi kwa kasi sana,
ugonjwa huu uta waathiri sana wakulima wa mahindi mkoa wa Rukwa iwapo haitadhibitiwa mapema.
Huu ugonjwa nimeuona hata kwa mbeya songwe upo
Majivu kivipi maana hata mie umeathiri mahindi yangu sanaWa loooooong time Mkuu.
Sema ni vile unachukuliwa poa poa Siye huwa tunaweka majivu tu.
Sawa mkuuWa loooooong time Mkuu.
Sema ni vile unachukuliwa poa poa Siye huwa tunaweka majivu tu.
Majivu kivipi maana hata mie umeathiri mahindi yangu sana
Sorry, we were unable to deliver your message to the following address.Wasiliana na SUBA Agro Arusha kwa utatuzi wa hilo
mmuya@subaagro.com
Mkuu! Huu ugonjwa upo karibu kila mahali! Mpaka sasa hakuna majibu ni dawa gani inasaidia kuwamaliza! Kama kuna mtu ametumia dawa iliyosaidia tafadhali atueleze wakulima ili tuitumieNdugu zangu wakulima,
Umezuka ugonjwa mbaya unashambulia mimea ya mahindi kwa kasi sana,
ugonjwa huu uta waathiri sana wakulima wa mahindi mkoa wa Rukwa iwapo haitadhibitiwa mapema.