Habarini za usiku wana janvi wenzangu ,nimekuwa mfuatiliaji wa vyakula vya mifugo kwa ujumla kwa undani,laikini nimekuwa nikishangazwa na hiki kitu kinaitwa concetrate ambayo uchanganywa na pumba alafu na kuwapatia kuku kwa minajiri kwamba pumba kilo mbili inachanganywa na kilo moja ya concetrate ,je ni kweli hizi concetrate za kuku zinafanya kazi na kama ni kweli kwa nini makampuni makubwa ya chakula hawatengenezi mfano Falcon,Hill,Energy? kwa anae fahamu naomba anisaidie kuhusu hili suala