Wadau naomba tufahamu nikifungua kitu kwakutumia incognito mode kwenye chrome browser inawwza kuzuia mtu asiweze kupata location nilipo(hacking) kama nitakavyotumia VPN?
Nina TV ya Sony Bravia 24 inch ilipigwa na radi.Kwa hiyo natafuta Sony service centre niwasiliane nao waweze kunibadilishia motherboard ya hii TV.Kwa ambaye ana contact nao naomba anisaidie.
Nina matatizo mawili kwanza computer yangu ni HP pavilion g4 inanguruma abnormal kwenye feni baada ya kushusha window 7 na kuweka nyingine same type. Pili kwa wale wanaojua kutumia statistic...
Wakuu nisaidieni jinsi ya kumblock mtu kwenye group la whatsup ,kwa maana mimi kila nikimblock mijitu ambayo inapost pumba kwenye group bado nayaona tu pia na post zangu wanaziona mpaka nachukia...
Salam wakuu,
Kwa wale wanaopenda kugain followers insta (even 500) per day nakuendelelea kwa lengo la kutangaza biashara zao, nk. Download app inaitwa Real followers for instagram ni app ambayo...
Wadau nimeletewa simu na ndugu yangu kutoka marekani kwa trump, sasa cha kushangaza haisomi sim card za hapa kwetu, naombeni msaada jaman ktk hlo nafanyaje?
Kutokana na facebook ilivyo unaweza kuombana urafiki na mtu usiyejua tabia zake au mienendo yake, urafiki utakuwepo kama haupo kwa siku kadhaa kisha kuna siku unaamka unakuta notification kua...
Habari!
Naombeni msaada hapo, nimefanikiwa kuweka biss keys hapo ktk wiz8035, tatizo ni namna ya ku save, nabonyeza wapi? Maana hicho chekundu kimeandikwa save lakini kama hakifanyi kazi.
Ahsante!
Kwa wale watumiaji wa instagram wanafaham kwamba ni almost impossible ku download au ku save picha moja kwa moja kutoka instagram, zaidi wengi huamua ku screenshot.
Sasa ku save picha au video...
Wakuu nataka art mbalimbali ktk modifies hii cursor ktk laptop yangu kuna mtu nilimkuta ana cursor akisogeza kuna kapaka kanaifata je ni software gani izo
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda...
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda...