Kwa wale watumiaji wa instagram wanafaham kwamba ni almost impossible ku download au ku save picha moja kwa moja kutoka instagram, zaidi wengi huamua ku screenshot.
Sasa ku save picha au video...
Wakuu nataka art mbalimbali ktk modifies hii cursor ktk laptop yangu kuna mtu nilimkuta ana cursor akisogeza kuna kapaka kanaifata je ni software gani izo
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda...
Hi jf member kwa yeyote anayejua kutengeneza website ile ya bure (blogspot.com) naomba anisaidie kutengeneza coz nimefanya kila njia kwa ajili ya kutengeneza ila nimeshindwa nitamtoa hata ya soda...
za jumapili..hapa Nina cm ndogo ya huwawei na siku za nyuma nilikuwa natua kuangalia video na kusikiliza mziki kupitia TV.sasa ghafla haitumi app hizo kwenye tv .nimejaribu ku-back up lakini...
Cm yang tenco C8 ilkuwa inasumbua kuwaka had ubonyeze button ya kuzmia muda but Jana uck nmeiweka chaji asbh naiwasha inarudia mchezo uleule sasa hapa imewaka imecorrupt vitu vyang vyooote...
Msaada natafuta fundi mzuri wa simu..simu yangu camera not working..hata ikifunguka ukiclick haipigi na ukihold inapiga upside..(picha inatoka juu chini.)nahaitoi option ya back camera only front...
ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
aman iwe kwenu wadau! mm ninatumia sim aina ya Inote, sasa leo hii ni siku ya tatu kila ninapohitaji kuitumia haikubali inanoletea tu massage google play service has stoped, sasa ni jins gan...
Mimi ni kijana napenda sana kumiliki kituo cha Televisheni kwa kuwa nina uwezo mkubwa wa utunzi na uandaaji wa vipindi. Napenda niwe na kituo cha Televisheni changu ila kutokana sina uwezo wa...
habar zenu, pc yangu ni lenovo L412 sasa tangu juz nikiiwasha kioo kinakua cheupe lakin pc inakua inaendelea kufanya kazi maana nikichomeka monitor ya nje inaonyesha vzr, sasa nikaifungua kule...
Ndugu,
Ni dhahiri kuwa jukwaa hili ni jukwaa la watu wenye skills mbalimbali, zikiweno skills za graphics designing, na vinginevyo vingi. Lakini leo hii nimeona watu wote wanaopenda kufanya...
MARAFIKI.COM ilikuwa my best chating site nlikuwa naingia uko kwa day nakukaa hours meeting new friends chatting na wa bongo
wenzangu hehehe! just chating yani ilikuwa bomba sana n that was like...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.