kioo93
Member
- Jun 1, 2016
- 38
- 19
Nina matatizo mawili kwanza computer yangu ni HP pavilion g4 inanguruma abnormal kwenye feni baada ya kushusha window 7 na kuweka nyingine same type. Pili kwa wale wanaojua kutumia statistic analysis SPSS yangu nikiingiza data nikitaka kuserve inastack na kutofanya kazi zaidi ya kuminimize tu