Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba mwenye program hiyo au msaada wowote wa kunisaidia kuweza kubadili PC games ili ziweze kucheza kwenye PS 2..Natanguliza shukrani
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau naomben msaada wa programme nzuri kwa ajili ya utengenezaji wa Student ID pamoja na "photo entry" kwa ajili ya usajili wa Necta. Najua kwa hapa jf ni kisima cha maarifa.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba tutorial ya kufanya jailbreaking ya Ipad 3 ili niweze kuinstall applications za android humo
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, mwenye moderm ya Halotel ambayo ipo kwenye hali nzuri anijulishe mara moja. Kwa Wale walioserious wanicheki Inbox.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mara nyingine ukienda inakuredirect kwenye site za kuinstall malware na Adware kama PC cleaner.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa kwa wadogo!!juzi kati niliomba ufafanuzi wa hili jambo katika jukwaa halisi ya hii mada lakin sikupata ufumbuzi leo naona bora nililete huku munisaidie kuhusu hili jambo la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana Jukwaa... Nina mdogo wangu anaishi Kibaha, natafuta mtu au fundi atakayeweza mfundisha Ku repair na Ku flash simu sina mbalimbali. Naomba uni pm please. Aliye maeneo ya Kibaha au...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
We all have pet peeves. Some are rational, others may appear irrational to others. I am not sure where this registry trick falls into, but shortcut arrows on the desktop drive me crazy. There is...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau msaada simu yangu samsung s3 haipandish kabisa 3G na setting zote zipo sawa network mode ipo LTE/GSM/WCDMA(AUTOMODE) ila inasoma E na nkijaribu kuweka Gsm only inakata kabisa haisom hata E...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa, nilikua naomba msaada wa ku-unlock modem ya kampuni ya ZTE k3772-z. Inatumia laini ya vodacom peke yake.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, Majuz nimenunu vitu vifuatavyo kwa ajili ya zoezi zima la kuunga ili nipate channel za FTA: 1. Dish la Gulf Star HD Ready la ft 6 2. King'amuzi cha HD Box 500 S DVB -S2 MPEG...
0 Reactions
14 Replies
12K Views
Wakuu habari, Msaada wenu kwa mwenye ujuz wa software ntakayoweza kutumia kurestore vitu nilivofuta. Ahsanten wakuu
2 Reactions
29 Replies
5K Views
itazame kwa umakini halafu share jibu lako. designed by me after being inspired by a certain logo of an international tv channel. any creative oriented question/opinion?.karibu tushirikishane,
0 Reactions
31 Replies
8K Views
habari wakuu, je how to fix this issue
0 Reactions
9 Replies
957 Views
Nimeshawahi kusoma maelezo mengi kuhusu kinachofanya ndege kuelea angani. Lakini nimekuwa nikijiuliza maswali yafuatayo: -Kipi hufanya ndege kutembea chini wakati hakuna 'shaft' inayozungusha...
0 Reactions
36 Replies
10K Views
ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Mtandao maarufu wa kijamii WhatsApp wenye watumiaji zaidi Ya bilioni moja Dunia umeanzisha huduma ya mawasiliano ya video call kwa watumiaji wa smartphone za Android, ios na Windows...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Laptop yangu nikichomeka waya wa chaji Ile indicator ya chaji inawaka nakuzima na chaji haingii, tatizo hili limeanza muda sio mrefu ilikuwa inachaji vizuri nashindwa kuelewa tatizo litakuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Picha : Burj khalifa - Dubai #supermoon #burjkhalifa Mwezi mkubwa zaidi umeonekana leo sehemu mbalimbali Duniani baada ya kuisogelea dunia. Mwezi huu umeonekana mara ya mwisho mwaka 1948...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WAkuu nina simu yangu ya LG g3 nashangaa nikiwasha inawaka kidogo then inajizima,,shida nini msaada.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom