Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,343
- 77,132
Kutokana na facebook ilivyo unaweza kuombana urafiki na mtu usiyejua tabia zake au mienendo yake, urafiki utakuwepo kama haupo kwa siku kadhaa kisha kuna siku unaamka unakuta notification kua Fulani Kibomba amekutag kwenye picha.
Ugumu utakuja utakapokuta picha yenyewe ni ya kingono na wewe una ndugu, wafanyakazi wenzako, wanafunzi wenzako, watu unaheshimiana nao na haupo tayari waione hiyo picha ambayo Fulani Kibomba alikutag. Wengi wetu tutakimbilia google au JamiiForums na kuuliza jinsi gani utajiondoa katika hiyo picha aliyokutag. Suluhisho utapata ila ni utakua umeondoa hiyo post katika profile yako ila marafiki wataendelea kukuona kwenye feeds na search zao.
Hapa nitaelezea jinsi ya kuzuia kabisa uwezekano wa Fulani Kibomba kukutag katika post ambayo hauitaki. Utakachofanya ni kuwezesha akaunti yako iwe inareview post ambayo wakina Fulani Kibomba watakutag kabla hujakubaliana nayo.
Hatua ya kwanza.
Ingia kwenye akaunti yako kupitia kifaa chako kisha bonyeza vimistari vitatu vilivyokaa kwa kupangana kwenda juu.
Hatua ya pili.
Shusha chini mpaka kwenye sehemu iliyoandikwa 'account settings' bonyeza na ingia hapo.
Hatua ya tatu.
Nenda kwenye 'timeline and tagging' bonyeza na ingia hapo.
Hatua ya nne.
Nenda kwenye 'review tags people add...'
Hatua ya tano.
Nenda kwenye 'tag review' na switch on.
Ugumu utakuja utakapokuta picha yenyewe ni ya kingono na wewe una ndugu, wafanyakazi wenzako, wanafunzi wenzako, watu unaheshimiana nao na haupo tayari waione hiyo picha ambayo Fulani Kibomba alikutag. Wengi wetu tutakimbilia google au JamiiForums na kuuliza jinsi gani utajiondoa katika hiyo picha aliyokutag. Suluhisho utapata ila ni utakua umeondoa hiyo post katika profile yako ila marafiki wataendelea kukuona kwenye feeds na search zao.
Hapa nitaelezea jinsi ya kuzuia kabisa uwezekano wa Fulani Kibomba kukutag katika post ambayo hauitaki. Utakachofanya ni kuwezesha akaunti yako iwe inareview post ambayo wakina Fulani Kibomba watakutag kabla hujakubaliana nayo.
Hatua ya kwanza.
Ingia kwenye akaunti yako kupitia kifaa chako kisha bonyeza vimistari vitatu vilivyokaa kwa kupangana kwenda juu.
Hatua ya pili.
Shusha chini mpaka kwenye sehemu iliyoandikwa 'account settings' bonyeza na ingia hapo.
Hatua ya tatu.
Nenda kwenye 'timeline and tagging' bonyeza na ingia hapo.
Hatua ya nne.
Nenda kwenye 'review tags people add...'
Hatua ya tano.
Nenda kwenye 'tag review' na switch on.