Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Cm yangu ni Tecno Y6 nikiicharge ndani ya saa 1 inaisha charge alafu inachemka sana upande wa camera kwa nyuma ...yaan hata nikiiweka nisitumie charge inaisha tu...naomben msaada mwenye kujua
0 Reactions
2 Replies
578 Views
Wanajamvi naomba msaada jinsi ya kutambua picha ilipigwa lini, wapi na muda gani....asanten wadau
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Software used - Adobe Photoshop CC 2014. Idea, Reflection of face on the bullet with explosive materials inside the fence. Artist --> Trumpanamo on DeviantArt
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wadau, naulizia jinsi ya ku update software ya decoder ya azam.. asubuhi ya leo nliona wamepitisha hilo tangazo kwny azam 2 ila kuna details zikanipita. so kwa yoyote mwenye ufahamu na hilo...
0 Reactions
5 Replies
18K Views
Wapendwa, salama? nina Laptop (Toshiba portege r830), ina tundu la kuweka SIM card, nimeweka na inafanya kazi(ina unganisha mtandao na intaneti napata), shida moja ni kwamba, nikitaka kuweka...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada jamani bajeti yangu ni laki nne nataka kununua lumia 640xl mpya dukani je kwa pesa hiyo naweza pata. Kama siwezi pata je simu gani amabayo naweza pata kwa bei hiyo yenye...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu humu ndani Hivi kalbuni nilifanya manunuzi ya domain kwenye kampuni ya pananames.com Nikafanikiwa kufanya hiyo transaction kupitia paypal lakini sasa nilipotaka kupark hiyo domain...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jamvi mwenzenu ninapata wakati mgumu sana kuelewa tatizo la simu yangu. Picha nikipiga zinapigwa vizuri lkn baadae ukirudi kuziangalia unakuta zina marangirangi ya blue ama wanakuletea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama unatafuta mafund bomba au vijana wa kuwaajiri usiteseke tupo watu wenye ujuzi kikamilifu na elimu sahihi yaani Full Technician Certificate (FTC) Kwa mawasiliano zaidi tutafute kupitia Email...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Tafadhari msaada wenu kwa anaye. jua jinsi ya kurudisha email iliyo futika katika trash coz wamesama inaishi ndani ya trash kwa muda wa siku 30 zen zinafutika automatically tafazari msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
563 Views
Naomba kujua ni browser gan ya android inayoweza kubadili proxy na kuweka unayotaka wewe. App kama mozila zimekataa kweny android lakn kweny windows iko option ya kubadili proxy
1 Reactions
25 Replies
3K Views
MANY USE THESE ABBREVIATIONS WITHOUT KNOWING THEIR MEANING 1.) *GOOGLE* - Global Organization Of Oriented Group Language Of Earth. 2.) *YAHOO* - Yet Another Hierarchical Officious Oracle. 3.)...
2 Reactions
0 Replies
613 Views
Naomba msaada wadau, nina chip yangu ya halotel sikuitumia kwa muda mrefu, jana nimeiweka nikaunga bando lakini nikiwasha Cellular data haisomi na haiwezi ku connect internet. Nimejaribu kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wadau!? naombe kw mwny utaalam wa hizi smartfone anisaidie n cm gan nzr ku2mia kw sasa na bei yake kw dar ikoje saiv!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu, Nina simu yangu aina ya TECNO H6 nilii-upgrade kutoka kit kat mpaka lollipop 5.1.1 tatizo lililopo hii OS haisomi laini yyote mwenye maujanja aokoe hili jahazi!
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Kama ujapata kujua bas nakujuza kuwa kama ww n mtumiaji wa Tecno C8 u can now upgrade from Lolipop to Marshmallow kama nilivyo Fanya hapa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ya kwanza ni picha iliyochorwa kwa mkono kwenye karatasi, hii ni njia nzuri kwa wale wasiokuwa na drawing pad. Na ya pili ni final out iliyofanyiwa full editing kwenye Photoshop Nakaribisha...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu,naomba ufafanuzi kuhusu mahusiano ya data usage statistic na speed ya internet maana mara nyingi simu yangu inaniletea "data usage warning" sasa sijui ina madhara gani mpaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu nikienda OS kuna folder la window sasa naona laptop yangu haina kabisa space yani apo os ni GB 29 huku window folder likila 20Gb unaona nabakiwa na GB 9 tu sioni local C au D PC yenyewe ni...
0 Reactions
4 Replies
827 Views
Back
Top Bottom