Data usage statistics ina effect yoyote katika speed ya internet?

Data usage statistics ina effect yoyote katika speed ya internet?

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Habari zenu wakuu,naomba ufafanuzi kuhusu mahusiano ya data usage statistic na speed ya internet maana mara nyingi simu yangu inaniletea "data usage warning" sasa sijui ina madhara gani mpaka wananiletea as warning
1945e29600ccca04912ccdcaa1581818.jpg
 
wenzetu mobile data ni ghali sana, wanatumia mara nyingi wifi za broadband za majumbani, ndio maana hizi operating system unapewa warning ukitumia sana mobile data.

hio warning inakukumbusha tu haina madhara na sidhani kama inapunguza speed ya mtandao.
 
wenzetu mobile data ni ghali sana, wanatumia mara nyingi wifi za broadband za majumbani, ndio maana hizi operating system unapewa warning ukitumia sana mobile data.

hio warning inakukumbusha tu haina madhara na sidhani kama inapunguza speed ya mtandao.
Poa mkuu shukran nimekupata
 
na inavyoleta warning mara kwa mara nini madhara yake mkuu au kuna hatari data inaweza ikakataa kufanya kazi
 
Data Warning alert una set mwenyewe. Kama unataka ikifika 10GB iku alert unaweka. Kwahiyo ni chaguo lako kuweka ni GB ngapi iku alert.
Sidhani kama ina madhara kwenye speed ya internet
 
Back
Top Bottom