Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

ICT na Teknolojia nchini Marekani imeajiri watu wengi sana na inawalipa vizuri mno kuliko sekta nyingine, hebu cheki hii Makala hapa Tehama! Jawabu lililosahaulika katika swali la ukosefu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuangalia mpira live kwa pc.
0 Reactions
2 Replies
858 Views
kwa nini mafuta ya taa hayatumiki kama fuel katika gari?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Published: 14 October 2016 ID: G00317560 Analyst(s): David W. Cearley | Mike J. Walker | Brian Burke Order Reprints You may request paper or digital reprints on the ensuing order form. Summary...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba msaada wa ku update GBwhatsapp nashindwa maan mda wote inaniletea Mesej upgrade Lakin nikibonyeza kuruhusu ku apgrade nashindwa naambiwa ni download kwa kutumie cloud download Niki click...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau natafuta mtaalam wakuweza kuunlock iphone 6. 0655461460
0 Reactions
23 Replies
4K Views
nimedownload adobe photoshop nimeshindwa ku install kwenye pc window 7 (Adobe_Photoshop_Lightroom_version_571_Mac_Os_X_) au sio version ya pc? asanten
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko ya maisha wanajamii,, naombeni msaada wa application ambayo naweza nikafanikiwa kuroot tecno y2,, maana nimejaribu kingroot latest version,, kingroot,, kingroot v4.1.0...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba msaada wana jf. nimenunua laptop na ina bluetooth lakini cha kunishangaza ni kwamba haifanyi kazi yaan nikiitafuta kwakutumia simu yangu, bluetooth ya laptop haionekani. je, nifanyeje ili...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wadau naomba msaada picha zangu nikipiga kwa simu kuzielekeza ziwe saved kwa memory card zinatoa hyo rangi kwa picha, lkn nikisave kwa phone memory zinakaa sawa tatizo ninini??? Msaada please
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauliza mwenye uelewa jamani, nimesikia kuna uwezekano wa kuunganisha screen ya computer na king'amuzi nikaangalia TV kama kuna muelewa naomba anijuze cha kufanya, natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
For Education Purpose. Zima King'amuzi. Bonyeza OK botton katika King'amuzi Kisha washaa kwa kutumia remote. subiri iwake.... kisha zima kwa power botton iliyopo katika king'amuzi. baada ya kuzima...
10 Reactions
67 Replies
19K Views
nna tecno H5 ninapo mpigia mtu ina sachi ussd code running....lakini sim inaita na tunasikilizana ili baada ya maaongezi sim yaikatiki sababu bado ina sachi ussd code msaada kwa anaejua tafadhali
0 Reactions
5 Replies
822 Views
Nahitaji simu yenye kuanzia 16 gb na yenye camera nzuri yani high quality ya ukweli. Iwe laini mbili lakini sio tecno. Naombeni mnishauri aina gani ndo itanifaa kutokana na specs zangu hapo. Pia...
1 Reactions
122 Replies
12K Views
Kama kichwa kinavosadifu,naitaji kujua kati ya Techo Boom 5 na Tecno C5 ipi ni nzuri zaidi? NB: Kama zina ubora sawa toa vigezo,pia kama hauzijui vizuri usichangie chochote.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jaman machine ya kutengenezea passport n tsh ngap
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wanajamvi Tujikumbushe na mnijuze hivi ule ushabiki wa blackberry uliishia wapi,maana ilikuwa kila kona ni kubadilishana BBM namba,kweli ivumayo haidumu,what happen to blackberry phones...
2 Reactions
50 Replies
6K Views
wanabodi habri za wakati! Nomba mwenye uelewa na programs ambazo zinarekodi videos katika Desktop nimejaribu kutafuta GOOGLE nimepata moja inaitwa KAZAMA shida ya hii ni kwamba inarekodi ila sauti...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Ninajifunza kutengeneza android app natumiaandroid studio kuna app mojanimekamilisha ila nashindhwa jinsi ya kuifanya ije iwe inmstalled kwenye device za kawaida za android mwenye uelewa tafadhali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hizi TV zina sehemu ya kuweka card kama decoder mbalimbali.Je card zake zinapatikana wapi na ukipata card yake unaweza itumia bila decoder ama kuitumia kwa Antenna ama dish 6 inches?? Na pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom