Munamuge
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 907
- 903
Naomba msaada wadau, nina chip yangu ya halotel sikuitumia kwa muda mrefu, jana nimeiweka nikaunga bando lakini nikiwasha Cellular data haisomi na haiwezi ku connect internet. Nimejaribu kwa moderm pia mtandao unasoma lakini siwezi kuconnect.
Niliwapigia huduma kwa wateja lakini majibu yao hayajanisaidia.
Thanks in advance.
Niliwapigia huduma kwa wateja lakini majibu yao hayajanisaidia.
Thanks in advance.