Msaada; simu yangu ina virus hatari

Msaada; simu yangu ina virus hatari

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
 
Download anti virus u scan au I scan kupitia computer
 
Reset simu kwanza,pili download Avast Ni antivirus nzuri,tatu download apps zako muhimu tu,sio kila app una download.
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Unatumia simu gani? Solution ya uhakaika ni kuweka os mpya...
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Simu yako ni aina gani
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Mafundi wanazo virus removal tools ama badilisha os AKA Flash simu yako
 
Back
Top Bottom