Msaada; simu yangu ina virus hatari

Rweye

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
16,958
7,512
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
 
Reset simu kwanza,pili download Avast Ni antivirus nzuri,tatu download apps zako muhimu tu,sio kila app una download.
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Unatumia simu gani? Solution ya uhakaika ni kuweka os mpya...
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Simu yako ni aina gani
 
Nimeambiwa kinaitwa sexual .... data ikiwa on inadownload vitu vya hovyo na vingi sana kila wakati, kuna mda mpaka inajizima na kujiwasha. Kwa jinsi ilivyo siwezi hata kumpa mtu kwa dakika moja make picha zinazoletwa pale ni za hovyo mno.

Kwa mwenyewe uwezo wa kunisaidia naomba msaada
Mafundi wanazo virus removal tools ama badilisha os AKA Flash simu yako
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom