Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kampuni ya Samsung imetangaza kwamba itazifanya simu zote za Note 7 ziache kufanya kazi wakati hazijachomekwa kwenye charger. Watafanya hivyo kwa kutoa software update amabayo itaji download...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Hivi ni technolojia gani inatumika kuunlock simu na kompyuter?
0 Reactions
0 Replies
400 Views
kuna mdau anauliza wapi anaweza pata modem yenye uwezo wa 4G au Min Router na bei zake ili ajue NB kwenye bei apo ya dukani ni kiasi gani na mkononi kwa mtu ni kiasi gani?
0 Reactions
0 Replies
751 Views
CHIEF MKWAWA na wengineo naomba mnisaidie katika hili, natumia Microsoft Lumia 430 Dual Phone. Simu yangu baadhi ya website nikifungua nashindwa ku-scroll down and up. Sielewi tatizo ni nini...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimeanza kujifunza game development na hii ni game yangu ya kwanza. Tafadhali ipakue play store na unipe maoni Endless Speed Racing 2D - Android Apps on Google Play
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomben msaada nimehangaika kuroot techno N2 kwa appsroot nyingi imegoma , ni android 6.0 Ambaye anajua njia nzuri hasa ikiwa bila kutumia Pc anisaidie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam jf. Kama header inavyojinadi. Nilitaka kujua bei ya Wireless Camera a.k.a ip cam kwa hapa tz ikiwemo na installation au bila install. Je! Naweza tumia smartphone kama ip camera.?
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mimi natumia simu, tecno y 4 ambayo ni laini, mbili, kwa laini zote . Changamoto ambayo inanisumbua Leo nimenunua laini ya univesties student, wamenisajilia vizuri tu na inapiga kazi upande laini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Anayefahamu bei ya vifaa hv dukani naomba anijulishe tafadhari nahitaji kununua
0 Reactions
0 Replies
473 Views
Habar zenu wakuu…! Mi nimgeni kwny hili jukwaa, so naomba mnikaribishe! Nilinunua kompyuta mpakato wiki tatu zilizopita ikiwa ni second hand. Ni "hp ProBook 4446s". Tatizo lnalonisumbua ni 1...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanatech wa humu ndani nina budget ya around 300-350k nahitaji kununua smartphone na nina option hizi tatu,galaxy s4,htc m7,na Lg g2, naomba kwa kutumia uzoefu nifahamishwe device...
0 Reactions
4 Replies
745 Views
Tafadhari naomba msaada ni namna gani naweza pata box la kuflash simu nataka nifungue office ya kudeal na software za simu, asa kuflash simu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
A US Patent was approved in June for a new hypersonic airbus that would allow passengers to be transported from London to New York in just one hour. Airbus say the jet will reach speeds of Mach...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
NI APP GANI NZURI YA KU UNLOCK SIMU?
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Friends, I am experiencing weak cellphone signals in my village house. As I intend to spend a long time living there next year I cannot tolerate the situation. I know that there are companies...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari hPo juu nilikuwa naomba mnifahamishe duka lililopo Dar Es Salaam ambapo naweza kupata hausing a simu ya Nokia asha 205 asanten
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jukwaa wenzamgu habarini . Nimejitokeza kwenu kuomba msaada kuhusiana na hyu mtoto wa bill gates cortanakama anavyojiita mwenyewe nimejaribu kusett afanye kazi kama ilivyokua awali kwa...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Habari zenu wanaJF. Samahanini jamani nilikuwa naomba kueleweshwa jinsi gani naweza ku-install mchezo wa FIFA 14 kwenye PC yangu yenye window 8.1 pro kwan nimejaribu kila njia lakn cjafanikiwa...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Kwanza wadau naomba mnijuze tofauti ya ya hizi Samsung za S series, A series pamoja na J series unakuta labda kuna J5, S5, na A5 nini tofauti yao kubwa na Kati ya IPhone 5 na Samsung 5 ipi no bora...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Hvi nini kifanyike kwenye hizi cm za manual flan labda Vodacom au tigo ambazo uaambiwa lain no 1 lazima iwe ya mtandao huo,, je ili uondokan na hlo tatizo LA kukataka utie lain ya mtandao huo...
0 Reactions
2 Replies
667 Views
Back
Top Bottom