Nicheki kupitia 0783848802Wadau naombeni msaada jamani bajeti yangu ni laki nne nataka kununua lumia 640xl mpya dukani je kwa pesa hiyo naweza pata. Kama siwezi pata je simu gani amabayo naweza pata kwa bei hiyo yenye huwezo mzuri kuringanisha na hii lumia msaada jamani
Tafuta LUMIA 650 Dual SIMWadau naombeni msaada jamani bajeti yangu ni laki nne nataka kununua lumia 640xl mpya dukani je kwa pesa hiyo naweza pata. Kama siwezi pata je simu gani amabayo naweza pata kwa bei hiyo yenye huwezo mzuri kuringanisha na hii lumia msaada jamani
640 LTE inauzwa chini ya 400kAtleast utapata lumia 550 ambayo inauzwa 350000 ikiwa mpya, hiyo laki nne unaweza kupata 640 lte second hand
380k - 350k naweza kukuuzia yangu Lumia 650 Dual SIM LTE kwa bei hyo pia kama utahitajikama shilingi ngapi kiongozi
Hahahahaaaaa!!!! we jamaa una matatizo ya kiwango cha lami.Nimeiona gsm.arena wameandika ina 8 GB, 1GB RAM af camera 13 by 5 MP...mbona specs ndogo af pesa yko kubwa...au umeagizwa na mganga?
Aya bana..na wala huwezi linganisha na ya sony..htc..samsung..lgwala 1gb ram ya lumia huwezi kufananisha na ya techno ndio maana nikataka hiyo simu ndugu