Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari zenu wana jukwaa naomba kwa mwenye ufahamu wa hili anisaidie, simu yangu nimeirestart ili nianze upya baada ya kumaliza ikanidai niweke google account. Nimejarb kuweka niliyokuwa naitumia...
0 Reactions
2 Replies
939 Views
Hellow wanajamvi natumaini mko vizur,Naombeni msaada kwenu nina computer yangu Asus mwanzoni betri nilikua nikiichaji ilikua ina uwezo wa kukaa masaa manne lakin saizi naichaji inaonyesha inajaa...
0 Reactions
5 Replies
870 Views
Habar wana teknohama, naomba mwenye ujuzi au ufahamu kuhusu app ambayo naweza kuinstall kwenye simu nikatumia kama modem kwenye computer ukiachana na mambo ya tethering na hot-spot ya simu, asante.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau, Nimefungua blog hivi punde, sasa kumekuwa na kitu hiki cha ku-host blog domain ili kuwa katika mfumo wa world wide web, sasa bado sijajua nini faida zake na gharama zake. Nawasilisha
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji Kununua premium templates kwa ajiri ya blogger ...Mwenye nazo ani PM tufanye bihashara
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Habari za leo wakuu Naomba kujua jinsi ya Ku update king,amzi cha startime Kwa mwenye uelewa na hili anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu, nataka ni upgrade hiii simu iende kwenye better version. Hizi ni sifa zake hapa chini, je inawezekana , njia gani rahisi bila kuleta madhara kwa device
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nashindwa kuziona videos ktk app ya JamiiForums.nikiiplay inakaa muda kidogo kisha yaniletea ujumbe huu Naomba msaada kwa wanaojua,mwanzo ilikuwa vizuri sasa sielewei ninini kilichokorofisha!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Best apps for rooted mobile , this is something which We Dreamy Tricks is going to share with you Today. So, We are sharing the collection of best android apps, which is most downloaded last year...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc. Mwenye nacho...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuna kazi ya IT Officer II imetangazwa na Iringa Urban Water Supply and Sanitation Authority..wakati napitia responsibility nikakutana na hii sentensi..."To research, plan and develop computer...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina samsung Note 4 lakini bahati mbaya haikubali kuconnect na Pc kupitia Usb....hata haisomi zaidi ya kuonesha tuu kuwa inacharge hata Usb yake niliyo nunua pamoja na simi nayo haikubali...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa namna ya kudeactivate Facebook na instagram ili nibaki jamiiforum tu
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Nahitaji msaada wenu (sina ujuzi wowote wa mambo ya CAMERA). Nahitaji kukununua kamera kwa ajili ya kazi ningependa kupewa aina ya kamera ambayo ni nzuri katika picha za mnato na ikibidi hata...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari zenu wadau. Nilikuwa nauliza je inawezekana kuhack wifi(wireless fidelity) ambayo ipo umbali wa 500M. Maana hapa ninapoishi nipo karibu na hotel ambayo inahiyo huduma sasa nataka niwe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa hali ilivyo sasa Kuna kila sababu ya kutafuta mbinu za kuwa anonymous ili kuwa salama. Najua inaweza kuwa ghali lakin zipo taarifa ambazo mwenyenazo anaweza kukubali kutumia gharama yeyote ili...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Nobel PrizeWinners (2016): Hakuna mweusi! Bob Dylan Literature Duncan Haldane Physics J. Michael Kosterlitz Physics David J. Thouless Physics Juan Manuel Santos Peace Prize Fraser Stoddart...
2 Reactions
11 Replies
892 Views
Nina computer yangu Aina ya Dell, sasa cha kushangaza nikiwasha Utakuta monitor inatoa tu mwanga wa njano halafu haiwash screen na kwa wakat huo CPU inanguruma sana, naomben msaada wenu sijajua...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi naomba msaada ya kuunganisha cm na pc kwa kutumia Bluetooth ili niweze kucheza audio wirelessly pc yangu ni hp 250 g5 na phone ni samsung galaxy j7.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
#freemaxencemelo Habari JF.... Hivi kuna app au any other way ya kujua kua simu imetumika mda gani??? E.g mwaka au miezi flani. Kwa mfano mtu anakwambia hii simu nimetumia wiki mbili tu,si...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…