Umeelewa nini kwenye hii Sentensi?

Umeelewa nini kwenye hii Sentensi?

Lalo Salamanca

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
1,556
Reaction score
1,169
Kuna kazi ya IT Officer II imetangazwa na Iringa Urban Water Supply and Sanitation Authority..wakati napitia responsibility nikakutana na hii sentensi..."To research, plan and develop computer operating system." Maana yake ni kwamba huyu mtu awe na uwezo wa kuunda OS kama Windows, au walikua na maana nyingine??
UDP.JPG
 
Naamini baadhi ya waandaaji wa haya matangazo hawana ujuzi na fani wanayotangaza, hapo labda alikua na maana na uwezo wa kudevelop application software japo hajaweka features za hyo software. OS sio kitu cha mchezo.
 
Naamini baadhi ya waandaaji wa haya matangazo hawana ujuzi na fani wanayotangaza, hapo labda alikua na maana na uwezo wa kudevelop application software japo hajaweka features za hyo software. OS sio kitu cha mchezo.

Nna wasiwasi na alie-compose hili Tangazo, sio bure
 
Hahahha unaeza kuta jamaa anatoa nafasi kwa watu na sisi tupate uwezo wa kutengeneza windows...... Ila mshaala wake bila shaka utakua unaendana na ule wa yule mdada anaelipwa bilion moja kwa siku uko ufalansa
 
Maybe ame-copy na ku-paste tangazo toka kwa mwalimu 'google'.
 
Back
Top Bottom