Milale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 494
- 189
Habari zenu wana jukwaa naomba kwa mwenye ufahamu wa hili anisaidie, simu yangu nimeirestart ili nianze upya baada ya kumaliza ikanidai niweke google account. Nimejarb kuweka niliyokuwa naitumia play store imegoma inasema si sahihi,je nifanyeje ili kuifungua naombeni njia mbadala,