Msaada: kuhusu google adsense

jmdume45

Senior Member
Jun 10, 2016
162
67
Habari zenu wakuu.. Nmeapply google adsense... Wakaipitia property yangu...then kuna code nlipewa niiweke kwenye header tags ili waifanyie review website yangu... Nikafanya hivyo...Sasa nashangaa kila nikilog in naambiwa bado wafanya review na watanijulisha baada ya siku tatu wakishamaliza rewiew process... Sasa sijaelewa kwa nyie wazoefu wa hii kitu..hii process ya review huwa inachukua muda gani?!...maana naona ni zadi ya wiki mbili naambiwa hivo hivo tuu...
Kwa wale wataalamu wa hii kitu hivi kuna dalili yiyote ya kuwa aporoved hapo?...naombeni msaada hapo wakuu..
ef18caa57f907cdca558c6bc02a87b5a.jpg
 
Habari zenu wakuu.. Nmeapply google adsense... Wakaipitia property yangu...then kuna code nlipewa niiweke kwenye header tags ili waifanyie review website yangu... Nikafanya hivyo...Sasa nashangaa kila nikilog in naambiwa bado wafanya review na watanijulisha baada ya siku tatu wakishamaliza rewiew process... Sasa sijaelewa kwa nyie wazoefu wa hii kitu..hii process ya review huwa inachukua muda gani?!...maana naona ni zadi ya wiki mbili naambiwa hivo hivo tuu...
Kwa wale wataalamu wa hii kitu hivi kuna dalili yiyote ya kuwa aporoved hapo?...naombeni msaada hapo wakuu..
ef18caa57f907cdca558c6bc02a87b5a.jpg
utasubiri sana mimi nimesubiri sana mpaka nikaamka kuibust na vmob ndo ikakubali
 
kuwa na subira ila kama site yako ni ya kiswahili itakuwa ni ngumu sana kukubaliwa. Baadaya ya kuweka hizo generated codes unavuta kwanza pumzi mzee ili wafanye yao.
 
kuwa na subira ila kama site yako ni ya kiswahili itakuwa ni ngumu sana kukubaliwa. Baadaya ya kuweka hizo generated codes unavuta kwanza pumzi mzee ili wafanye yao.
Sawa mkuu...maana b4 nilikuwa na baadhi ya post za kiswahili walinipa feedback faster nirekebishe the ni reapply... Baada ya kuapply ndio nikapewa hizo codes ili wanifanyie review.... Na ndio nimestuck hapo wiki mbili sasa zinakatika
 
Back
Top Bottom