mtanzania asiye jielewa
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 179
- 98
Natumia huawei G510 yaani inanipa shida sana kila nikitaka kuingia fb inazimika. Nashindwa kubaini tatizo ni nini.
Pia najaribu kuingiza link ya kupata TV za hapa Tanzania inagoma. Msaada tafadhali
Pia najaribu kuingiza link ya kupata TV za hapa Tanzania inagoma. Msaada tafadhali