Khabari wana jamvi hili..
Nikiwa na tabasamu lenye tumaini la uimara wa afya zenu, naomba nikunje miguu kama nyie jamvini kisha tujumuike pamoja..
Ewaah..
Akhsanteni..
Kabla hamjanipa chakula...
Jinsi ya ku ‘root’ simu yako ya Android.
SASA TUJE KWENYE MADA;
Android ni Mfumo wa simu (Operating System) ambao unaboreshwa siku hadi siku. Mfumo huu una majina tofauti kutegeana na toleo lake...
Nahitaji kuhack simu ya android ili nipate sms za kawaida, za whatsapp, voice calls na call logs zake.
Software ipi na inapatikanwa wapi? Namna gani kuitumia?
Naomba ushauri.
Wanajamii naomba mtu mwenye ujuzi na simu anijuze. nimejichangachanga kidogo nina 200,000/= hivyo nataka ninunue simu yenye ubora mzuri. nahitaji TECNO je ipi nzuri kwa pesa hiyo au nikiongeza...
Habari wakuu..!!
Nina sony music system yangu ya miaka mingi kidogo kwa miaka zaidi ya 15 inapiga kazi.
Miezi miwili iliyopita haikutumika tulikuwa safari, sasa leo kuiwasha, inawaka lakini main...
Habari wanIT, bado nafikiria kwann IT wengi wa kibongo magumashi kwenye swala kujoin pamoja na kutengeneza ajira kwa wengine kama vile FB, Twitter, Google n.k. Kwann tunakuwa wabinafsi kiasi hiki...
Je unahitaji software au huduma ya ku recover data zilizopotea either kwa kuformat au kufuta kimakosa?
Wewe ni mwasibu na unahitaji account package kama quick book?
Wasiliana nami kwa no hizi...
Quantum computing breakthrough could 'change life completely', say scientists
nikisoma nakala hii Na kuangalia taifa letu roho inakuwa inauma sana.Tech gap inazidi kuongezeka tu Na mudaa cyo...
Siku hizi maisha yanakimbia sana na kila kukicha majukumu yanaongezeka kwa kasi ya ajabu, ni rahisi sana kusahau baadhi ya ratiba kama kufanya mawasiliano na watu wako wa muhimu. Hapa ndipo...
Habari zenu wakuu nilikuwa naomba msaada maana nimepokea E-mail kutoka UNITED NATION, Ila nikuwa naomba msaada wenu wakuu maana E-mail hii imenichanganya hivyo nilikuwa naomba mnichanganulie zaidi...
Kuna njia mbalimbali zinazotumika kufungua simu zinazotumia mtandao mmoja. Hapa tutatumia njia 2.
Njia no 1:
Maandalizi
1/ Kompyuta
2/ Simu iliyofungiwa
3/ Simu inayofanana na hiyo...
Kwanini MB za internet zinakimbia hivi, 600MB ndani ya 30 mints zimekata, hakuna download wala update kwenye pc. Nimezima browser zote lakini bado inanipa hadi 2.56Mbps.
Habari wakuu,.
Kuna uzi uliwekwa hapa jamvini namna kuweza kufanya rooting katika simu, mimi nimefanikiwa katika Android yangu.
Naomba wajuzi wa mambo watusaidie what's next baada ya hili ili...