Adobe photo shop cs6

Adobe photo shop cs6

Shadrack K. Lwila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
4,925
Reaction score
14,297
Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
 
Kuna adobe animation mkuu, zamani adobe flash, hapo ndio nyubani kwa cartoon. Ukiadvance ukaingia kwenye 3D tafuta Maya ndio mwisho wa kazi.
 
Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
Kuna group lipo whatsapp wanafundisha pamoja na video tutorials, tafuta ujiunge!!!!
Mtafute huyu jamaa whatsapp atakusaidia (+255713469213), au slaustec@gmail.com


Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
Kuna group lipo whatsapp wanafundisha pamoja na video tutorials, tafuta ujiunge!!!!
 
Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
Ingia youtube andika adobe photoshop tutorials for beginners!! Utapata za kumwaga!!
 
Mkuu mbona sijawahi iona iyo
kuna adobe Photoshop....special kwa ajiri ya photo editing tu.
kuna adobe After Effects...special kwa ajiri ya movie editing.
kuna adobe Animate (zamani Adobe Flash)...special kwa ajiri ya animation tu, japo sina uhakika kama hii adobe animate inafanya hata 3D animations, maana mimi nlitumiaga kipindi cha adobe flash, ila technology imekimbia sana, nawao wanaweza kuwa washaingia kwenye 3D. Japo for beginner huitaji kufanya 3D.
 
Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
Dah aisee jombaa anyway kwa begginer kama ww itakuchukua muda kufanikisha...ni vyema uanze kujifunza namna ya kutumia tools takriban zote...I.e pen tool ..brush..na nyinginezo::jifunzie kwenye simple drawings natumain itakusaidia pindi ukianza kuchora Cartoon hutasumbuka kwani utaalam utakuwa unao.na utatoa cartoon nzuri sana...I.e. Adobe illustrator Cc ni nzuri pia kwa kudesign simple cartoon...zipo youtubechannels utapata tutorial za kutosha.....Vector Portraits.....@Kila LA kheri
 
Dah aisee jombaa anyway kwa begginer kama ww itakuchukua muda kufanikisha...ni vyema uanze kujifunza namna ya kutumia tools takriban zote...I.e pen tool ..brush..na nyinginezo::jifunzie kwenye simple drawings natumain itakusaidia pindi ukianza kuchora Cartoon hutasumbuka kwani utaalam utakuwa unao.na utatoa cartoon nzuri sana...I.e. Adobe illustrator Cc ni nzuri pia kwa kudesign simple cartoon...zipo youtubechannels utapata tutorial za kutosha.....Vector Portraits.....@Kila LA kheri
Asant mkuu
 
Wakuu ningependa kujua namna gani naweza tengeneza picha katuni nikitumia iyo programe tajwa apo juu
Ngumu sana kumuelekeza mtu kwa maneno maandish, maana inahitaj kumuonyesha tools mbalimbali, jinsi ya ku colour picha n.k.

La msingi anza ku master basics za photoshop ili rahisi sana kupewa hints n.k.


Kama umeanza ku master zama tu youtube kuna vids nyingi sana zitakupa miongozo.
 
YouTube kuna tutorials za kutosha....go and search them
 
Ngumu sana kumuelekeza mtu kwa maneno maandish, maana inahitaj kumuonyesha tools mbalimbali, jinsi ya ku colour picha n.k.

La msingi anza ku master basics za photoshop ili rahisi sana kupewa hints n.k.


Kama umeanza ku master zama tu youtube kuna vids nyingi sana zitakupa miongozo.
Asante mkuu vip we unatumia editor ipi mbal na adobe photo shop cs6
 
Back
Top Bottom