Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadogo habari zenu wakubwa shikamooni. Mimi ni mwanafunzi wa it naomba mwenye idea yoyote ya information system ambayo haijatrngenezwa nataka ni develop program yoyote kama practical project ya...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Give your Android smartphone the reason why it should be called ANDROID Make your phone more Fancy, Classic and Unique How to change Notification bar colour Have a glance on how to do it How...
1 Reactions
0 Replies
677 Views
Wadau naombeni mwenye uzoefu wa namna ya kufungua, kuendesha na gharama za website anipati. Stay blessed.
1 Reactions
27 Replies
6K Views
(nilkuwa naingia youtube) hiyo screenshort inasema 500 Internal Server error Sorry, something went wrong A team of highly trained monkeys has been dispatched to deal with this situation If you...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamii forums, Hilo ni swali gumu kwa bloggers ambao ndio wanaanza.Unaweza kuuliza na kupata ushauri kwa watu lakini ushauri huo usikusaidie.Leo tuchambue jambo moja tu ,,,kuhusu...
1 Reactions
2 Replies
955 Views
Uwezo mkubwa wa kuona umekuwa ukifananishwa na JICHO la TAI lenye sifa za kipekee. Katika maendeleo ya Technolojia sasa Imevumbuliwa Camera ndogo zaidi sio tu zaidi ya mbegu ya mchicha bali zaidi...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nina deki yangu aina ya singsung ..imeanza tatzo nikiweka cd nyingine zinasoma zingine hazisomi inaandika stop nkplay tena inaandika stop.. Mda mwngne znasoma ila inaandika unsupported format...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mie n kijana. Naifaham computer kwa matumizi ya kawaida.. Napnda sana kupata mafunzo ya technlogia ya kupambana na wizi wa mitandao.. Je kwa hapa tanzania especially dar nitapata wapi hio course
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wapendwa,natafuta screen ya simu X-BO 01.Mwenye nayo au kujua zinapopatikana,Msaada unahitajika.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
How to learn to hack in easy steps ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ Introduction...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari ya saa hizi wana JF. Samahani naombeni msaada, Eternal Hard Disk yangu (Transcend 500 GB) Inaandika Format kila nikiichomeka kwenye PC. ndani ina data zangu nyingi sana muhimu. Nimejaribu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wana TGS/JF, Nimepata taarifa kutoka ndani TCRA kwamba kuanzia mwezi june 2015 kutakuwa hakuna haja ya kubeba line tatu hadi nne za simu za mikononi kwani suluhisho limepatikana. Unakuwa...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Heshima yenu wakuu, Kama nilivyo jieleza hapo juu naomba mwenye uelewa juu ya kublock sms za magroup watsaapp maana imekuwa kero sihitaji kuleft nia nikihitaji niwe naruhusu group moja moja...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Habari wadau! Huu mfumo wa TRCA ambao wanadai mtu ataweza kuhama kutoka mtandao 1 kwenda mwingine nauona ni mfumo ambao hautufai kabisa na una mapungufu. Nimemsikia mtu 1 kutoka TCRA redion...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Either kwa kutumia Google account au Hamna nyengine yyt ,INA some important documents,pls help me guys niipate Thanks @all who answer me
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Habari wanajamii wenzangu! nnaomba msaada wa application hiyo kwa ambae anayo
0 Reactions
5 Replies
987 Views
Salam wana JF, Naomba alternative way ya kufungulia mlango wa CD ktk laptop imenigomea kufunguka kwa njia za kawaida.
0 Reactions
18 Replies
7K Views
wakuu ninatumia umeme wa sola kwa ajili ya umeme wa nyumbani, kwakuwa panel zangu ni za volt 24, na inverter ni ya volt 12, huwa kila siku asubuhi nina charge betri kwa mfumo wa volt 24(nina betri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kumekuwako na ongezeko la mahitaji ya mitambo maalumu ya kuzuia wezi ya CCTV siku za hivi karibuni kutokana na ukweli kwamba kumekuwa na ongezeko la watu wasio waaminifu katika jamii CCTV ni mfumo...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
kichwa kinajieleza
0 Reactions
2 Replies
855 Views
Back
Top Bottom