Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Simu yangu ya huawei ascend g730 ilianguka ikazima nikawa naitumia kawaida tu siku ya siku nikawa nikiweka chaji inaniandikia error! Please plug out charger..nkanunua betri jipya lakini wapi...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Sisemi Mimi ila ni vote iliopigwa mtandaoni...... Ila naafiki
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Baada ya kuzitumia kwa mda mrefu Tecno.. Nimeona nibadilishe aina nyingine.. Naomba ushauri kuhusu aina hii ya Infinix.. Ubora na kasoro, zake... Karibu........
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Hamjambo wadau? mwenye ujuzi naomba msaada tafadhali, ninatumia simu aina ya BLU Win510L, simu hii inatumia Windows 8.1 OS, tatizo ni kuwa simu hii iko slow vibaya mno kwenye mtandao natumia line...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Mbona kuna simu nyingine zina kataa kuleta ile offer..
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Nili uninstall facebook application from my iphone lakini nikiingia app store ili kuidownload nashindwa na inanipa msg kuwa ni temporary unavailable...nikajaribu kuitoa facebook messenger but...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba kusaidiwa jinsi ya kuitengeneza simu yangu aina ya XIAOMI REDMI NOTE 3, 32GB STORAGE . Tatizo ni kuwa niliiflash kwa sp flashtool ikakubali hadi mwisho ila baada ya...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Wandugu laptop yangu hp mini Intel Atom(R)@1.66GHz 1.67GHz ram 2GB tatizo nikiwa naangalia movie ikifika kati sauti inatangulia kabla ya kitendo kufanyika.nimeupdate vlc.media player.gom lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
World best motorbike racing game Already, it has been recommended to be the best Why not take a look at them Download some of them And see the reasons why it is called the world best motorbike...
1 Reactions
0 Replies
788 Views
habarini za muda huu...... ndugu zanguni nahitaji msaada wenu, laptop yangu imeleta shida tangu juzi........baada ya kuitumia nilizima kama kawaida......badae kuiwasha, ikawaka lakini screen...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Naomba link ya xposed framework inafanya kazi kwenye 4.4.2 android version simi ni itel 1406.
0 Reactions
0 Replies
649 Views
msaada kwa wale ambao wanaju kuhide internet protocol address katika PC unahitajika wakuu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
How to Recover, track or locate your stolen or lost Android device using Cerberus How to recover, track or locate your stolen or missing Android device Have you loose hope that you can't find...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nataka kutengenezewa App ya android. itakuwa na data ambazo watu watakuwa wanasearch wakihitaji. Ukiwa Mbeya itakuwa rahisi kufanya kazi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
One of the LG K series "K10" has been officially launched in India LG K10 (2017) is now officially launched in India See the Specifications and the Features it come with in tabular reading...
2 Reactions
0 Replies
552 Views
Nahitaji kujua tofauti hapa kuna vifaa vingine vya umeme vimeandikwa mfano220v/ 50wats na kingine 220v /50hz tofauti ya WATS NA HZ Msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari.. Kumekuwa na tabia au tatizo la Line za Tigo kushondwa kushika mtandao na hilo tatizo halitatuliki mpaka uende kwenye ofisi za tigo na ufanyiwe swap Mbaya zaidi ndo upo bize na shughuli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ingawa Huduma hii ina Faida Kubwa kwa Pale utakapokuwa unaona Mtandao gani unakusumbua unauhama... Ila Changamoto yake naona Ni pale Utakapohama Mtandao Mmoja kwenda Mwingine... Au utakapompigia...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello Wajameni, Kuna kibaka kaniibia Macbook yangu,kama Kuna mtu anaweza kuitrace ikapatikana,basi zawadi nono ipo,watu wa IT wachangamkie ajira hii.Come inbox
1 Reactions
31 Replies
3K Views
PC yangu inishut down bado zile indcators za pemben zinawaka kuonyesha kwamba iko on bado Wataalam wa haya mambo naomben msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Back
Top Bottom