Jamani nahitaji msaada wenu
Nina laptop yangu aina ya Dell
Nilikuwa Naitumia vizuri lakini juzi imeanza tatizo la Kuwa nzito na kuchemka nikiwa naangalia movie inakaa mda Ikiwa Poa baadae inanza...
Ni matumaini yangu kuwa wote mko na afya njema. Nimekua nikiona mitandaoni kuwa kuna baadhi ya watu wamefikishwa mahakamani kwa sababu ya kusambaza kitu kwa njia ya Watsapp , hii ina maana private...
simu yangu tecno w3 inakuwa na kifurushi cha kutosha kabisa lakini msg za whatsapp hazifunguki lakini nukiunganishwa kwa WIFI zinaanza kufunguka. naombeni msaada
Nmepoteza cover ya cd ya windows8 that means nmepoteza pia na code zke za kuniruhusu mm kuweza kuitumia..how can managed to use au kuzipata hizo code zke maana imeishia kati inacommand code ambazo...
Tafadhari Shufu Kichwa cha Habari Hapo Juu,
Naomba Kusaidiwa Kupanga Channel Kwa Jinsi Upendavyo Kwenye King'amuzi cha Azam, Mf. Kwenye Madishi Makubwa Nilikua Nimepanga Channel ya Kwanza1. ITV...
Siyo siri, Kwa sifa hizi Nokia atatake over easily katika soko la simu za mkononi, Hususan Africa,Tanzania ikiwemo. TECNO, ITEL & Co wajiangalie na simu zao ambazo ni overpriced huku zikiwa na...
habari zenu wakuu,
kwanza natanguliza shukurani kwa msaada ntakaopewa,
computer yangu aina ya desktop (HP), pia ina RAM 1GB, WINDOW7, harddisk GB40,
nikiistall games zinagoma kuplay sijui tatizo...
Nimenunua Projector(beamer)
Nimenunua na HADMI wire kwaajili ya hiyo projector
Nimenunua na na kichwa cha HADMI ili niunganishe kwenye
Ipod au tablet lengo nicheze move toka tablet...
Nahitaji Kununua Compyuter Kwaajili ya kufanya Video Editing
#Mwanzo Nilinunu HP yenye 4gb Ram, processer Core Duo 3.00Ghz Hdd 500 Gb
Nimeweka Adobe After Effect CS6 Inakuwa inastak Sa Cjui...
Wadau ninaomba msaada Mara nyingi ninakuta kwenye simu application moja au mbili hazionekani wakati niliziinstall kutoka play store Ila ukiingia setting,apps unazikuta zipo tatizo ni nini!
Wadau kama kichwa kinavyojieleza. Nina simu ya samsung s4 GT-I9500
tatizo lake ni hilo. Mnara unaoneka network imejaa lakini ukijari kupiga inatoa majibu kwamba
Not register on network. Naomba...
Habari wakuu....
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitumia sizi simu japo nimewah tumia android pia
Nimekuwa addicted Na hizi windows phone, maana Ni simu ambazo sipo smart kuliko kawaida(...