Habari wanabodi!
Mimi sina ujuzi na maswala ya ving'amuzi, sasa Hapa kuna mdau ametaka nimsaidie kupandisha channels za ktk king'amuzi cha Startimes, Please mwenye ujuzi atusaidie hapa.
Big new Music Streaming Site. Swift streaming faster than YouTube. Great account Configuration,Fast Speed..Take Your Music with you everywhere you Go. Designed,Created and Hosted on Unlimited...
Wana Jf naomba mnijuze,
Hivi mwanaume anapo fanya tendo la ndoa na mke akiwa hayupo kwenye siku za kupata ujauzito spam huwa zinaenda wapi, hufanya kazi gani huko zinakoenda na zina kaa kwa muda...
Naomben mnisaidie Ku crack online game ili kupata free in app purchases kama gem coin natumia game za clash of clan(COC) ,shadow fight walking dead pamoja na dark sword
Jamani kuna mtu nlimblock whatsapp ila nashangaa text zake zinaingia bado huku inbox ya whatsapp...
Hivi kuna njia ambayo mtu anaweza ji unblock...
And huyo mtu hata siko nae karibu kusema ana...
Hi to All members Here,
Think of new ideas on web and information technology....
Idea-1 :- User experience is driven by performance and creates perception of the service. In telecom the...
Habari za kazi wakuu, naomba msaada nifanyeje simu yangu ya lumia 532 touchscreen yake inasumbua kwa mfano back, home na search hazifanyi kazi kabisa pia upande wa meseji herufi za juu yaan...
Hizi code zinafanya kazi bila error yoyote ya SQL au PHP (no browser error), tatizo linakuja ninapoweka pagination tu, kwa records za kwanza hakuna tatizo ila unapojaribu kubonyeza "NEXT LIST" ili...
Wadau mimi ndiyo mara yangu ya kwanza kumiliki laptop,sasa kila nikidownload kitu inaniandikia "no disc space" au "disc space is full"naombeni msaada wenu nifanyeje hapo!Maana hata pozi limeniisha.
Wadau natanguliza heshima zangu kweny....naomba mwenye ujuzi wa kuweza kunielekeza Au kunifanyia hili zoezi tutalindana...nataka ni install app ambazo azipo AppStore ya iphone[emoji18]
Habarini wanajamvi.
Ukitaka kuzipata whatsapp status za kwenye simu hapa namaanisha zile short clips zinazokua posted na watu walio kwenye whatsapp contacts namba zako ni simple fata hatua hizi...
Habari za asubuh wataalam , Mimi sio mtaalam wa maswala ya website na Domain,
Nimenunua Domain kwenye moja ya kampuni za kitanzania, niliwaambia wanipe unlimited size kwasababu project yangu...
Ninaomba wataalamu wa IT.. mnisaidie hapa. Kila ninapotaka kuongeza au kuondoa file kwenye flash yangu Aina ya Twin Mos, inakataa kwa kuniletea ujumbe... This devise is write protection. Na kila...
Simu yangu tajwa hapo juu nimekumbana na tatizo la kuwa na mwanga mkali yaani hata nipunguze vipi bado macho yanaumia kutazama pia ukifungua app kma whattsapp inaonyesha kupauka sana tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.