Msaada samsung j3(2016)

korokwincho

JF-Expert Member
Aug 29, 2014
1,053
1,259
Simu yangu tajwa hapo juu nimekumbana na tatizo la kuwa na mwanga mkali yaani hata nipunguze vipi bado macho yanaumia kutazama pia ukifungua app kma whattsapp inaonyesha kupauka sana tofauti na simu nyingine nilizotumia juzi juzi kama huawei p8 lte, naombeni msaada kama kuna njia nyingne ya kupunguza mwanga yaani hadi screen mode nimeweka BASIC lakini wapi naona tatizo bado liko palepale
81ce2f7cfc82190aad157ed84223d663.jpg
01ec5c18d42a944e379a556d6a73fa5d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom